Recent content by Tosokane

  1. Tosokane

    Cheka na numby

    Numbisa naomba msamaha kwani nahurumia mbavu zangu eti.
  2. Tosokane

    Mwenye makosa ni nani? Mke au mume?

    Hapo kosa kwa mtazamo wangu ni wa mume ambaye hawezi pambanua haki ya mke na ndg zake wengine. Kukosa maelewano huko tu nimeona pengo kubwa mno ambalo tayari linavunja ndoa ambayo ilishabomoka siku nyingi. Tena mke akiacha kazi na gari kuuzwa manyanyaso yatakuwa mengi MNO hata miezi 2 kwangu ni...
  3. Tosokane

    Kwanini wanawake wanapenda sana wanaume wenye magari?

    Unadhani masika hii wanyeshewe na nywele walizo-seti ziharibike na poda nayo iwaondoke ?! So, wanaogopa kuharibu make-up.
  4. Tosokane

    Waliofanya Utafiti huu tafadhali ndani ya Saa 24 watuombe radhi wana Mkoa wa Mara

    Hivi 'Taata' hawa watu wanaelewa kwa nini kuna mikoa wanatahiri kwa kampeni ya M/C (male circumcision) ya bure? Kwetu hiyo haipo maana wote kufiki darasa la nne tu ni wanaume wasafi tayari, lazima watuombe radhi haraka sana.
  5. Tosokane

    Msaada kuhusu mkoa wa Tabora

    Ongeza pia PPP garden karibu na hosp. ya rufaa ya Mkoa wa Tabora - Kitete.
  6. Tosokane

    Wanaume nina swali kwenu, naomba majibu

    Achana na siku ya kwanza bhana, ile aibu na hofu ya mwanamke humpa mwanaume raha ya aina yake. Lakn akikuzoea makeke yoote huisha na mara nyingi mazoea hupelekea mwanaume ajidungie mwenyewe, hivyo haina mvuta saaana !!
  7. Tosokane

    Kila nikikumbuka visa vya Mama Mwenye Nyumba, Kanyenye (Tabora) sirudi tena

    Hiyo inaitwa Mboka Manyema. Uende tena ujaribu na mitaa ya Ng'ambo, au Chemchem.
  8. Tosokane

    Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti angependa aolewe naye

    Nadhani sifa hizi zinatofautiani kanda moja na nyingine.
  9. Tosokane

    Wanaume mlioko kwenye ndoa kwanini hamridhiki na wake zenu?

    Wanao-cheat hivyo ni wa Dar, sisi wa mikoani tunasema ukweli kwa tunaotongoza tunawaambia nina mke na wake zetu pia huwa tunawaambia kuwa huko nje kuna poozeo au mapoozeo. Kikubwa ni tusiharibu budget ya main compus tu.
  10. Tosokane

    Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

    Inabidi tuwe wapole kwani tumetupia za vimwana wakali weee, sasa ni zamu yao. Hebu tupieni za ma-handsome ili nasi tujue pa kuwanasa part 2 kwani awali walidhani nguvu ya kiume ni pesa kumbe uso nao una nguvu duuuuh.
  11. Tosokane

    Walevi wa mademu njoni hapa pana panawahusu

    6 chaguo langu, hiyo 5 maziwa mara yamemharibia.
  12. Tosokane

    Dada zangu hii style ya mapenzi ni hatari, unaweza muua mpenzi/mumeo kwa raha

    Huyo sasa naona anafanya kazi kama brender,
  13. Tosokane

    MBINU: Ukigombana na mkeo na akanuna fanya yafuatayo

    Akiwa na mimba hapo ndio patamu, wewe ficha pemba au udongo wa kichuguu anaokula na muwe wawili tu, mbona haraka sana atakusemesha.
  14. Tosokane

    Mke wangu amezalishwa na madaktari wadogo roho inaniuma

    Badala umshukuru MUNGU amepona ktk harakati hiyo ya ujauzito hadi kuzalishwa, wewe eti ameonwa. Anzisha maternity home hapo kwako ili next pregnancy umzalishe mwenyewe, ili pia kupunguza tatizo la wazazi kulala wawili wawili.
Back
Top Bottom