Recent content by tosaby

  1. T

    JamiiForums Tanzania CCM Kuwashughulikia wanachama wanaounga mkono Serikali tatu akiwemo WARIOBA

    Mkuu Mwanadiwani kwa hehima na unyenyekevu naomba ufafanuzi kuhusu kilichompata yule aliyekuwa mbunge wa kiembe samaki
  2. T

    JamiiForums Tanzania Clouds yaipotezea UKAWA

    Mkuu sio huyo tu kuna producer wa hicho kipindi aliipa yy ataunganisha nguvu na vijana wenzake kuhakikisha serikali tatu hazipiti, then hujui vitu ilikuwa aibu wkt anahojiwa na Jenarali Ulimwengu anajikanyaga na kusingizia watu bila evedance.Sasa inawezekana ameanzia na hapo kwenye kipindi chake
  3. T

    JamiiForums Tanzania Clouds yaipotezea UKAWA

    Mkuu Rich ww ndio upo mjini una ufahamu huu? kama hauna msukumo wowote nyuma yako,basi kuna haja ya kureform structure ya mitaala ya elimu kuanzia chekechea hadi chuo kikuu
  4. T

    JamiiForums Tanzania Serikali imechelewa sana kuchukua hatua dhidi ya Balozi Uk

    Mkuu hapa wanataka kutuyumbisha il a hii weak haitakwisha mambo yatakuwa hadharani
  5. T

    JamiiForums Tanzania Dr.Slaa, Upinzani siyo uadui sisi sote ni Watanzania

    Mkuu Ritz kuna inshu unataka kuindress ila ulichokosea ni mahali ulipoilekeza naomba kwenye kila mahali ulipoandika Dr Slaa futa weka neno Mwigulu then uipitie itakavyo leta maana kuna mtu anajiita mamba au tembo ss anakwambia hole wako utoe elimu ya uraia kwa wananchi wake
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mapapa 560 wa Madawa ya Kulevya watajwa. Wamo Morine Amatus Liyumba na mdogo wa Rostam Aziz

    Mkuu Hayo unayoyasema inawezekana ila tumuombe kwenye hotuba ya mwisho wa mwezi hayazungumze kwani inchi imechafuka nje ya mipaka na ndani. Kama jana ulipata nafasi ya kumsikiliza Mh Mwakyembe wkt anahojiwa kwenye kipindi cha jeneraly on monday ch 10 alipata kigugumizi kidogo kujibu swali je...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Rutabanzibwa amtunishia msuli Waziri Huvisa

    Mkuu Umenifurahisha sana hebu nipe kilichotokea kwn matokeo yanaweza yakawa mengi,na vp kwn baraza la ardhi na nyumba ndio mwisho wa maamuzi?
  8. T

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yapata pigo Kusini; mwenyekiti wake ajiuzuru

    Mkuu Hayo madai yako yapo ktk aya ya ngapi.? kwn nimepitia aya zote tano sijaona,au amekupigia simu?
  9. T

    JamiiForums Tanzania Mashtaka ya ugaidi Tabora yafutiliwa mbali, Henry Kilewo na wenzake 4 huru kwa tuhuma hizo

    Mkuu leo umeniangusha kuliko,yaani ni kweli ww kada ila sometimes uwa una akili ila kwa hii comment inamaana mahakama imeanza kujengwa enzi ya JK?
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kinyang'anyiro cha ubunge mwaka 2015 Tarime kati ya John Heche na Mwita Waitara kuipasua CHADEMA

    Mkuu Ritz Inaonekana umefanya utafiti baada ya kumaliza nyumbani vp mgombea wenu ana nafasi yeyote? Vp kuhusu kinyanganyiro cha urais kupitia ccm kweli hatutakufa kama hao ubunge unahofu kuwa wakurya watauna? Hivi haya mamilioni ya mzee EL yapotee bure
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Polisi tukutane Mahakamani ila siwapi Ushahidi

    kwa hiyo report yao inasubiri ushahidi wa Mbowe ili kiwe kiambatanisho au vp? wasema kama wameshindwa ili kuliko kujiabisha kwa kiasi hiki yale ya kiana victor hd leo hatujui muendelezo wake, polisi na bange kimya hivi hawa wanaweza kuchunguza nn na kikaisha kwa wakati
  12. T

    JamiiForums Tanzania Tasnifu za njano5: Kuelekea katiba mpya, wapinzani mchague kati ya kifo cha moto au maji

    mkuu nimekupata hivi kwa nn muungano wetu unaonekana kama umeshikwa na zanzibar? ina maana watanganyika tumekuwa watu wa kupuzia sana au tulikosa watu wa kutusemea kwa nguvu kudai tanganyika? g55 walisambaratishwa,mtikila haeleweki,mm nakubaliana na ww uwezekano wa machafuko nami nauona kwani...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mbiu imelia,CHADEMA kuwasha moto tarehe 21.07.2013 Dar

    Mkuu masihara hayo mwezi mtukufu au huko hujauna? Vp mkuu hayo maboksi ninayosikiaga humu ni ya viroba au?
  14. T

    JamiiForums Tanzania Said Mohamed Saad - Mmiliki wa Home shopping Centre, amwagiwa tindikali!

    Ritz kwa nn unasisitiza kila mara watu wapeleke ushahidi kwenye vyombo vya dola kuhusu huyu jamaa na raia wengi wamekwambia shutuma zake zipo hadi kwa amiri jeshi mkuu lkn hamna kilichofanyika ukadai wivu wa kike sasa acha hukumu nyingine zitolewe bila kufuata sheria wm si amesema wapigwe tu.Ila...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Mungu tunakushukuru, Arusha asanteni sana

    Pamoja kamanda,ila bado tuna deni la kuwataja wahusika wa mlipuko pale soweto kwa majina. Ningependekeza tuombe mkutano wa kuwashukuru wanaArusha na hapo tumalize kiu pomaja na mikakati ya kutimiza ahadi zetu ambazo ziko ndani ya uwezo wetu thanx naomba kuwasilisha
Back
Top Bottom