Recent content by torvic

  1. torvic

    JamiiForums Tanzania Kama unaweza kuchinja ng'ombe, ng'uruwe wewe ni katili kupindukia

    Sasa imajini unapenda binti nzuri ya kimeru kwao anachinja mpaka mbuzi, hilo penzi lazima lichafukwe na ukatili mbayaa.
  2. torvic

    JamiiForums Tanzania Huwa napenda kuwaambia rafiki zangu wayatazame maisha kwa mtazamo wa bungani mfano wa fisi wanavyomuua swala kikatili kwa kumuanza kumla akiwa hai

    kaka pole sana kwa kujilinganisha utashi wako na fisi wa porini !
  3. torvic

    JamiiForums Tanzania WMO yatoa onyo El Niño itakuwa tishio la kihistoria, tahadhari zichukuliwe mapema

    Mama wa KIZUNGU sio?
  4. torvic

    JamiiForums Tanzania WMO yatoa onyo El Niño itakuwa tishio la kihistoria, tahadhari zichukuliwe mapema

    Akili yangu ndogo inaniambia, hii El nino ni kama wanataka kutupoteza maboya, tusiwakumbuke ndugu zetu waliopotea 10/25 na badala yake tuwaze el nino ya mchongo! Anyways, Mungu atuepushe na el nino. Mungu atuepushe na yote.
  5. torvic

    JamiiForums Tanzania Siku ya kwanza kupiga story na mzungu

    siku ya kwanza kuongea kingereza na mzungu nilikuwa na jamaa yangu ferry tunasubiri pantoni, kushoto kulia nikaona kimzungu kimevaa begi kubwaa kikanisogelea. Jamaa angu akaniambia oya upo na mzungu hapo na mm nilivyogeuka kumuangalia mzungu fresh, mzungu akalianzisha.. mzungu; hello mim...
  6. torvic

    JamiiForums Tanzania Aliepanda kwenye mlingoti wa bendera akamatwa, Mara

    Kule chacha anaogopa kutongozwa huku chacha anadandia mlingoti uchi. Wakurya wameamua
  7. torvic

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Ipi ni Sexual Fantasy yako?

    Bwashee, tumempata mgunduzi wa hiyo staili na bia ameshakunywa yupo ya nne sahii. fanya ulipe asee Tuma kwa namba hii, 074718xxxx22 Ogopa matapeli
  8. torvic

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Ipi ni Sexual Fantasy yako?

    Daah! Ngoja nimuite nijaribishe...
  9. torvic

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Tajiri, kwani hamuwezi kupaboresha vizuri wakati raia wakibaki na umiliki wao ardhi na makazi?
  10. torvic

    JamiiForums Tanzania NDUGU ZETU WALIO TOKA SAUZI

    Tajiri punguza uoga, hao ni ndugu zetu, wamepitia mengi huo sauzi na mwisho wamerudi nyumbani, tuwapokee tuishi nao hawawezi kutushinda. Chizi anachekesha kama sio ndugu yako.
  11. torvic

    JamiiForums Tanzania Kitimoto, ndizi au ugali Vs Biriani ya ngamia

    usimfananishe mdudu na vitu vya ajabu, biriani si ubwabwa wa kiarabu tu
Back
Top Bottom