Akili yangu ndogo inaniambia, hii El nino ni kama wanataka kutupoteza maboya, tusiwakumbuke ndugu zetu waliopotea 10/25 na badala yake tuwaze el nino ya mchongo!
Anyways, Mungu atuepushe na el nino. Mungu atuepushe na yote.
siku ya kwanza kuongea kingereza na mzungu nilikuwa na jamaa yangu ferry tunasubiri pantoni, kushoto kulia nikaona kimzungu kimevaa begi kubwaa kikanisogelea. Jamaa angu akaniambia oya upo na mzungu hapo na mm nilivyogeuka kumuangalia mzungu fresh, mzungu akalianzisha..
mzungu; hello
mim...
Tajiri punguza uoga, hao ni ndugu zetu, wamepitia mengi huo sauzi na mwisho wamerudi nyumbani, tuwapokee tuishi nao hawawezi kutushinda.
Chizi anachekesha kama sio ndugu yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.