Naandika kwa mshangao sana, kwamba Tundu Lisu Alipopigwa risasi nyingi area D Dodoma.
Kina Shivji, Kardinal Pengo, Maaskofu na mashekhe wetu mbali mbali hawakuthubutu kuinua midomo yao kwa kusema walau katiba inavunjwa kwa ile haki ya msingi ya kuishi badala yake.
Walikaa kimya na wakati huo...
Rais, kwa upole wako na huruma kwa Watanzania na upendo ulionao kwao naomba kwa heshima kubwa uwafikirie kuwalipa fidia wale wote walioathirika na bomoa bomoa ya majumba yao kwa ajili ya utanuzi WA barabara yaliyotokea enzi zile maeneo ya Kimara, Ubungo na kadhalika.
Wengi waliathirika na...
HAINA SHIDA HIYO IKO SAWA. YAANI UTEUZI WAO ULIANZIA TAREHE HIYO ILA KUTANGANGAZWA WAMETANGAZWA LEO. IKO SAWA TU YAWEZEKANA KABISA MTU AKATEULIWA SIKU ZA NYUMA NA AKAANZA KAZI RASMI TAREHE HIYO ISIPOKUWA UMMA UKAJUULISHWA BAADAE
HAINA SHIDA HIYO IKO SAWA. YAANI UTEUZI WAO ULIANZIA TAREHE HIYO ILA KUTANGANGAZWA WAMETANGAZWA LEO. IKO SAWA TU YAWEZEKANA KABISA MTU AKATEULIWA SIKU ZA NYUMA NA AKAANZA KAZI RASMI TAREHE HIYO ISIPOKUWA UMMA UKAJUULISHWA BAADAE
Ndugu, wakati umefika Sasa wa Kubadilisha katiba ya Zanzibar Kuondosha ukomo wa Urais kwa upande wa Zanzibar. Nashauri Rais aliyopo Sasa aendelee kuingoza Zanzibar hata kipindi chake Cha miaka kumi ikiisha Kwa uwezo wa Mungu. Sote tunashuhudia siku chake tu amefanya Mambo makubwa sana. Na hii...
MFANO UNA NYUMBA LA MITI NA UDONGO PALE KARIAKOO LINAKARIBIA KUANGUKA KABISA! HALIKUINGIZII KIPATO CHOCHOTE YAANI JUMBA LIPO LIPO TU KAMA PAGALE NA UWEZO WA KUJENGA HUNA NA WALA HAUTEGEMEI KUPATA UWEZO. THEN
ANAKUJA MHINDI AU MWARABU ANAKWAMBIA TUFANYE MKATABA WA NYUMBA YAKO HII TUNAIJENGA...
KUNA HAJA KUBWA SANA WATANZANIA KUELIMISHWA KUHUU MUUNGANO SIKUTARAJIA HATA KIDOGO KWAMBA KUNA WATU WATASHANGAA RAIS WA ZANZIBAR KUMUWAKILISHA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. YAONESHA WAZI WATANZANIA WENGI HAWAELEWI KUHUSU MUUNGANO!!!
HIVI LEO BAADHI YA WATU TENA WENGINE NI WASOMI...
Wandugu, sasa ni muda muafaka wa kurejesha ule mradi wetu mkubwa wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi na kwa faida za kichumi.
Yafanyike maandalizi mapema na washirika wote wakae katika mazungumzo ili hatimae mradi uanze kazi mara moja.
Ikumbukwe mradi huu...
Nakuhakikishia Safari yako itakuwa ni nyepesi sana endapo utayafanya haya Mambo MANNE (4), MH: MADAM kwa haraka ikiwezekana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na NYOTA yako itazidi kung'ara
(1) MPE AMRI DPP AFUTE KESI YA MASHEKH WA UAMSHO ILIYODUMU ZAIDI YA MIAKA MINANE BILA USHAHIDI KUKAMILIKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.