Nakaa najiuliza ni maombi gani hayo ambayo hayajibiwi?
Ni kiasi gani anaeombwa anataka aombwe?
Kama anaeombwa ana nia ya kutoa msaada na mwenye huruma kama inavyoandikwa Kwanini akae kimya hadi mama wa watu akate tamaa alafu amuhukumu kwa zambi ya kukata tamaa kirahi rahisi?
Namuonea huruma...
2026, Musk anakaribia dollar trillon 1 katika utajiri ila sisi tangu waganga wa mababu zetu umetufikisha wapi?
Oh nilikuwa nimerogwa sijielewi akaniponesha, hivi wewe unaelewa afya ya akili?
Unaelewa kuhusu coincidences..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.