Recent content by Top Gun

  1. Top Gun

    Ni kweli mtu unaweza kutajirika kwa ufugaji wa kuku wa nyama (kienyeji) kama upo mikoani?

    Tuachane na zile hesabu za matikiti 500 unanua crown😁 Tusaidiane uhalisia na mbinu Karibuni wazeya
  2. Top Gun

    Hovyo kabisa Wewe Msemaji na ndiyo unayetuponza pakubwa sana kila Siku hadi sasa tumebaki 'kudemadema' tu Kimatokeo viwanjani

    😂😩Midamu inamtoka kama matako ya demu wa secretarybird yule wa kuitwa Munch wa Annabelle 😖
  3. Top Gun

    Nimeshuhudia mama yangu akisali kwa moyo na imani miaka 15+ ila bado anapitia mateso ya baba. Anaumwa pia, ila baba ndio bado ana enjoy maisha

    Huyo jamaa tusi lake kubwa ni kuita watu punga, nina uhakika Makebo ni shoga, ipo akilini ndio maaa anaona kawaida
  4. Top Gun

    Nimeshuhudia mama yangu akisali kwa moyo na imani miaka 15+ ila bado anapitia mateso ya baba. Anaumwa pia, ila baba ndio bado ana enjoy maisha

    Nakaa najiuliza ni maombi gani hayo ambayo hayajibiwi? Ni kiasi gani anaeombwa anataka aombwe? Kama anaeombwa ana nia ya kutoa msaada na mwenye huruma kama inavyoandikwa Kwanini akae kimya hadi mama wa watu akate tamaa alafu amuhukumu kwa zambi ya kukata tamaa kirahi rahisi? Namuonea huruma...
  5. Top Gun

    Tangu asubuhi sijauza hata mia na nipo mjini kati, mambo yangu yanakwama kwa kasi, nachanganyikiwa

    Nakosa hata la kuongea wakuu, aisee!
  6. Top Gun

    Hivi ni kweli watu wanarogwa wasipige hatua za kimaendeleo?

    Ndugu kuna njia asili ya kujitoa gundu la vijicho?
  7. Top Gun

    Hivi ni kweli watu wanarogwa wasipige hatua za kimaendeleo?

    Ni namna gani mtu anaweza jitoa katika tabu hii ya vijicho?
  8. Top Gun

    Hivi ni kweli watu wanarogwa wasipige hatua za kimaendeleo?

    Unakuta mtu kila unachoshika hakishikiki Na unakuta umewekeza akili, jasho na damu lakini wewe unakuwa tu wa mkia. Wajuvi wa mambo karibuni
  9. Top Gun

    Uhakika ni kuwa hakuna mtu mwenye ushahidi uliosimama kwamba aliwahi kusaidiwa na mganga, mwenyewe anajishuku na kujiuliza kama yeye ndio amefanya

    2026, Musk anakaribia dollar trillon 1 katika utajiri ila sisi tangu waganga wa mababu zetu umetufikisha wapi? Oh nilikuwa nimerogwa sijielewi akaniponesha, hivi wewe unaelewa afya ya akili? Unaelewa kuhusu coincidences..
  10. Top Gun

    Huu mti unaitwaje kwa kiswahili. Msaada tafadhari

    Markhamia lutea
Back
Top Bottom