Recent content by Tonydigital

  1. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania Likinga Redo wa Zaiko Langa Langa Afariki

    Leo nimemkumbuka Likinga Redo, hakika ni mwimbaji mzuri hasa ukizingatia sauti yake ya pekee. Pata kusikiliza album ya 4 Etoiles unayojulikana kama 4Etoiles au Souffrance. Hakika yeye na Carlyto Lassa waliitendea haki, ikumbukwe Likinga na Lassa walikuwa Guest vocalist katika album hii.
  2. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti gani kati mpiga gitaa la solo na mpiga gitaa la kuongoza?

    Lina maana moja. Gitaa kuu /gitaa ongozi. Aina ya magitaa yanayotumika hasa katika soukouss scene ni solo / lead, rhythm na bass. Wanapotumika wapigaji solo wawili kwa pamoja, yule anayepiga sehemu kubwa tunasema lead guitarist mwingine atapiga mi-solo.
  3. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    😂 ni Adamo Ekula
  4. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    Ndio, hasa ukizingatia Wenge ndio walikuwa wa moto kipindi hicho😊
  5. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    Kuna sauti za wengi!!! Nyoka Longo, Adamo Ekula, Malage Lugendo etc.
  6. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    Sasa sikiliza Kinshansa Souvenir Ya Damien Aziwa na Sebeni ya Dindo Yogo🔥🔥humo kaachiwa mwanzo mwisho.
  7. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    Wanasema zenga loketo😂😂
  8. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    Anaanza dakika ya 3:50 Ya Nono🕊🕊😭
  9. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    Sikiza nyimbo za Zaiko Langa Langa
  10. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania TANZIA RIP Nono Monzuluku - Class Zaiko Langa Langa Grand Animator

    Wakati muziki wa rhumba / soukous Congo unapitia mabadiliko mengi ya vionjo, moja ya vitu vilivyonogesha ni kionjo cha kurap ambacho kiliongezwa haswa wakati nyimbo ilipokuwa inakaribia kuisha. Mwimbaji husika alitambulika kama animator / atalaku. Mnano miaka ya 1980’s mwashoni mtindo huu...
  11. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mpiga Solo Gitaa hatari Nene Tchacou hakuimbwa sana kama Wenzake Diblo Dibala na Dally Kimoko?

    Hapana kwenye hii album rhythm guitar alipiga Mimi Kazidona ( nyimbo zote sita). Nene alicheza solo kwenye Isambe, Frere Soki na Yesu Christo. Wakati Dally alicheza solo kwenye Monie, Kadhi na Wallow.
  12. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mpiga Solo Gitaa hatari Nene Tchacou hakuimbwa sana kama Wenzake Diblo Dibala na Dally Kimoko?

    Ukitaka kumfaidi vzr Tchakou tafuta tena Album za Ngouma Lokito. Amour, Leddy na Talisman. Huku kwenye kughani mashairi utamskia Code Niawu. Album ya Amour ndiyo hasa imenifanya nimtazame Tchakou kwa angle nyingine kwani alipangilia kila kitu kikanyooka.
  13. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mpiga Solo Gitaa hatari Nene Tchacou hakuimbwa sana kama Wenzake Diblo Dibala na Dally Kimoko?

    Best atalaku/ rapa kwenye congoless music ni kati ya watu watano walioshirikishwa kwenye project nyingi: Dally Kimoko, Lokassa ya [emoji385], Ngouma Lokito, Mavungu Malanda na 3615 Code Niawu. Huku kwenye waimbaji anashikiria Luciana Demingongo.
Back
Top Bottom