Recent content by Tonybla

  1. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Wazo: Fred na Emmanuel Ole Shangai jamii ya Maa itawapigia kura pasipo kujali chama.

    Yule mbunge wa ngorongoro na ole, kwambalitea ndugu zao? Basi nini maana ya kuchaguliwa mbunge ili mfanye pamoja na wapigakura? Tunakaa kimya Kwa sasa, baadae Iko jirani kabisa
  2. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Prof Kabudi, tumejitokeza kiwanjani - what's next?

    Kwa hiyo hata hizo Hela, kama kweli walipewa wachezaji kabla ya mechi itabidi warudishe au?$
  3. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Prof Kabudi, tumejitokeza kiwanjani - what's next?

    Tuliwacheka majirani, halafu dk 10 baadae nikaona na sisi tutachekwa, aliyechekwa kwanza na aliyechekwa mwisho. Unatoaje advance ya ahadi kwenye football, ngoja tuone majirani wengine sikumbuki kama walitoa ahadi in advance, majirani na sisi uchafuzi unatitia aibu
  4. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

    Eti kweli kwamba wakuu wachache wa mipaka wamepewa magari mazuri yake ili wakae kimya, naota tu, Kuna waotaji wengi zaidi yangu, wanatoa kweli kweli Sasa hivi
  5. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

    Malawi
  6. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Rais wetu kipenzi hujachelewa, rekebisha eneo hili maana hakuna aliyetoka salama

    Ngoja kwanza nifikirie vizuri, aliyechanga ni Yanga afrika au gsm?
  7. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa Wakili Nassoro Katuga, sasa hivi anaishi kama digidigi

    Sijui, ila watu mna hasira sana siku hizi
  8. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Lissu & Gwajima mmekosa shukrani (video)

    mental case
  9. Tonybla

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mzee David Cleopa Msuya afariki Dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Mzena

    Yes, Pole kwa familia na Job Msuya
  10. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Viongozi na Watu Mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya Papa Francis

    mbona mwijaku haendi?
  11. Tonybla

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

    Duuh, watoto ni watoto tu, tarehe 8 wasijekukimbia na mpira, watu wa zamani watakuwa na kumbukumbu Kipa wao alivokimbia na mpira dk45, timu ya hovyo na inatia aibu taifa
  12. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Nisamehe kaka, labda ni kweli umenizidi umri, tusiwajibu vibaya watu waliokuzidi umri, Asante
  13. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Kasongo yeyeh
  14. Tonybla

    JamiiForums Tanzania Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Watoto wa 2000 poleni, hizi thread mnazutumwa kuzipakia upya humu kweli basi hamumjui marehemu Mtikila vizuri. Muulizeni Mzee Giafar Beda wa Badr East Africa kwamba marehemu Mtikila alikuwa anaenda kufanya nn kwenye ofisi yake pale alhamza na Kwa alikuwa akiwaita magabacholi kipindi kile
Back
Top Bottom