Nifungueni akili hivi hao ndio wanahusika na kumtishia bastola waziri Nape Nnauye? Je wanahusika na kumpiga risasi 32 mhe Tundu Lisu? Je huku ndiyo usalama?
Umeongea mengi lakini ya upande moja,imagine! Chukulia wewe ndiyo Dkt Slaa kwa miaka yote tangu 1995 Hadi 2015 amesota kuzunguka nchi nzima kuijenga CDM na kuahidiwa kugombea urais kupitia UKWA ghafla ikatokea kubadili gia angani na nafasi hiyo kapewa Lowasa ambaye mpaka ameshindwa huko ccm...
Hakuwa na sababu yoyote ya kumtishia kifo huyo anayeitwa Mange,nijuavyo shekhe ni kiongozi mkubwa mwenye majukumu ya kuwahudumia watu wote kiroho na kugeuza watu wabaya kuwa watu wema waache mabaya watende mema wamkatae shetani wamrudie Mungu sasa hii ya shekhe ni ipi ya kuombea watu wafee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.