Habari ndugu zangu, nauza kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja,kipo kigamboni Mwasonga opposite na sekandary ya kisalawe B. Ni cha kwangu mwenyewe,nauza kwakuwa ninashida ya ADA ya masomo,hakuna hati ila kina document za serikali za mitaa. Ni sh ml 16 tu. Tafadhali kama unaweza kukinunua naomba...