Recent content by tondoli

  1. T

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa kigamboni-Mwasonga

    Nauza kiwanja kipo kigamboni eneo la mwasonga opposite na KISALAWE B SECONDARY, kina ukubwa wa ekari moja. Bei ni sh ml 13 au ukitaka nusu ekari ni sh ml 6,500,000. Maelewano yapo. Kina nyaraka za serikali za mitaa, mawasiliano 0712293766. ASANTENI.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja kigamboni

    Dah! Kwa kawaida ekari moja unauza sh ngapi huko mwasonga MKUU??
  3. T

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja kigamboni

    Habari ndugu zangu, nauza kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja,kipo kigamboni Mwasonga opposite na sekandary ya kisalawe B. Ni cha kwangu mwenyewe,nauza kwakuwa ninashida ya ADA ya masomo,hakuna hati ila kina document za serikali za mitaa. Ni sh ml 16 tu. Tafadhali kama unaweza kukinunua naomba...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka kama Prof Jumanne Maghembe anaendana na kasi ya Rais Magufuli

    Huyu waziri na katibu MKUU wake hamna kitu,taasisi za elimu zilizojngwa chini ya wizara yake ikiwamo chuo cha taifa cha utalii viongozi wamefuja sana Mali ya umma na inajulikana wazi kabisaaaa,na uongozi uliotangulia kwa maana ya katibu MKUU aliyekuwepo alishaanza kulishughulikia,lakini baada ya...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Nauza ekari moja

    Samahani wadau sijajipanga na tangazo langu,nitakuja nikiwa na full information.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nauza ekari moja

    Wadau nauza ekari moja sh mil.17, kipo kigamboni maeneo ya kisalawe B kiko karibu na dar zooo.karibu sana.0688661057
  7. T

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Naomba kama kuna MTU amewahi kuagiza gari kupitia kampuni ya CARDEAL PAGE ya Kijapan anisaidie kama hawana SHIDA yoyote.asanteni.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja ukubwa 70*60 na nyumba kubwa eneo la chamazi dsm.

    tuwasiliane 0688661057
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kirombelo: Afsa mtendaji wa Kijiji afungiwa Ofisi

    breaking news Afsa mtendaji wa kijiji afungiwa ofisi baada ya kushindwa kuafikiana na Mw/kit wa kijiji pamoja na wajumbe. update caming...... Siku nne zilizopita katk kijiji cha Mlimba (w)Kirombelo kulikuwa na mkutano mkuu wa hadhara, agenda kuu ni kusoma mapato na matumizl. Kwa...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Askari wawili wauawa na majambazi Kongowe

    police wawili wameuwa kikatili huko mbagala na watu wasiojulikana na kutokomea kusikojulikana.wamefanikiwa kuwanyang'anya silaha na kutokimea nazo. source mtu aliye ndani ya jeshi la police
  11. T

    JamiiForums Tanzania Pengo awalipua Maaskofu, asisitiza uamuzi wa aina ya kura ni wa mtu binafsi

    Aaaaaah kumbe pengo c kitu, kapewa za escrow huyu, she.. Zake
  12. T

    JamiiForums Tanzania Ni Laana kwa Afrika kufuta vibali vya Uchawi na Uganga Tanzania

    Kigogo nasikitika kwamba ni watu wachache sana watakuelewa, wengi wao hawataki kufikiri, ila ni namba moja kukaririshwa kama wao c binadamu.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Ni Laana kwa Afrika kufuta vibali vya Uchawi na Uganga Tanzania

    mara nyingi wavivu wa kufikiria hukumbilia kufungua vitabu vya wakoloni badala ya kujenga hoja. akili ya kuambiwa changanya na aliokupa mungu wako.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Ni Laana kwa Afrika kufuta vibali vya Uchawi na Uganga Tanzania

    Yericko una akiri nyingi sana, watu kama ninyi ni wachache sana duniani. waliowengi ni mizigo
  15. T

    JamiiForums Tanzania Ni Laana kwa Afrika kufuta vibali vya Uchawi na Uganga Tanzania

    Ukiwamo wewe kama mchangiaji mmojawapo
Back
Top Bottom