Sishangai kushinda kwa huyo mtoto (hongera zake) kwasababu ndio mtoto pekee katika washindanaji wengine. Utaratibu wa kushindanisha haukuwa sahihi kutokana na kushindanisha mtoto na watu wazima. Ushauri wangu kwa TMK shindanisheni kwa kuzingatia rika, kama watoto basi washindane watoto kwa...
inaelekea ndio mnaanza mapenzi, mna muda gani ktk uchumba wenu?, lakini ndio mwanzo usikereke endelea kumuonyesha vitu ambavyo huvipendi maana ndio hatua za kujuana huko
Ni stori yenye mafundisho kwa pande zote mbili lakini pia hata kwa wenye mabasi. nakumbuka scandinavia enzi hizo alikuwa anatoa mifuko ya rambo kwa wasafiri hususan wale ambao huwa wanatapika wawapo safarini hivyo hii stori inawafundisha na wenye mabasi kuwa na utaratibu huo halikadhalika na...
Huwa binafsi sionagi maana ya hii sanamu sijui walifikiria nini, mimi ningesuggest wangeweka mgomba wa ndizi au mkungu wa ndizi kuashiria alama fulani katika mkoa kama walivyofanya mwanza kuweka sanamu ya samaki
RIP watoto ingawa hawakustahili kufa kutokana na ajali kutokana na ajali yenyewe inazuilika endapo kama mamlaka au mmiliki wangekuwa wanajali uhai wa binadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.