Recent content by tomoko

  1. tomoko

    Dawa ya vipele kwenye ngozi

    Pole sana kwa motto, nakushauri nenda hospitali ili kujua tatizo ni nini
  2. tomoko

    Natafuta type letter machine

    Sio type letter ni type writer
  3. tomoko

    Mtoto huyu ndio mshidi wa mashindano ya TMT kutoka Musoma

    Sishangai kushinda kwa huyo mtoto (hongera zake) kwasababu ndio mtoto pekee katika washindanaji wengine. Utaratibu wa kushindanisha haukuwa sahihi kutokana na kushindanisha mtoto na watu wazima. Ushauri wangu kwa TMK shindanisheni kwa kuzingatia rika, kama watoto basi washindane watoto kwa...
  4. tomoko

    Ishawahi kukukuta hii?

    lakini hata kwa mdada pia kumetuna
  5. tomoko

    Boyfriend wangu nampenda ila tabia zake zinanikera

    inaelekea ndio mnaanza mapenzi, mna muda gani ktk uchumba wenu?, lakini ndio mwanzo usikereke endelea kumuonyesha vitu ambavyo huvipendi maana ndio hatua za kujuana huko
  6. tomoko

    Abiria wote ndani ya basi walicheka !!!!

    Ni stori yenye mafundisho kwa pande zote mbili lakini pia hata kwa wenye mabasi. nakumbuka scandinavia enzi hizo alikuwa anatoa mifuko ya rambo kwa wasafiri hususan wale ambao huwa wanatapika wawapo safarini hivyo hii stori inawafundisha na wenye mabasi kuwa na utaratibu huo halikadhalika na...
  7. tomoko

    Nani Anaijua hii? Iko wapi?

    Huwa binafsi sionagi maana ya hii sanamu sijui walifikiria nini, mimi ningesuggest wangeweka mgomba wa ndizi au mkungu wa ndizi kuashiria alama fulani katika mkoa kama walivyofanya mwanza kuweka sanamu ya samaki
  8. tomoko

    Maskini mpiga ngoma wa watu!!

    wewe unamhurumia mpiga ngoma, wahurumie watoto, wanapata mafundisho gani hapo?
  9. tomoko

    Samaki arukia sehemu za siri

    labda aliivua ili akojoe kwenye maji ndio maana alichuchumaa kuchota maji
  10. tomoko

    Mangi kaharibu mahali,collectively responsibility inahusika na hapa??

    hata mimi, kuanzia title hadi contents
  11. tomoko

    madem cheapness imezidi; kuweni na utu kidogo bana

    according to english dictionary, dame (demu) means a woman
  12. tomoko

    Breaking news: Lorry laua wawili manzese agentina muda huu

    RIP watoto ingawa hawakustahili kufa kutokana na ajali kutokana na ajali yenyewe inazuilika endapo kama mamlaka au mmiliki wangekuwa wanajali uhai wa binadamu
  13. tomoko

    Serikali ya China imeipa serikali ya Tanzania magari ya kifahari?

    kama ni msaada mimi sioni kama kuna tatizo, ila kama ni mkopo au tumeyanunua hapo ndio kuna tatizo
Back
Top Bottom