Dawa ya vipele kwenye ngozi

nnunu

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
654
230
Habari?,

Samahani naomba niambiwe tiba ya vipele kwenye ngozi kwa mtoto au doctor bingwa zaidi wa magonjwa ya ngozi kwa watoto.

Nimezunguka kwa madoctor wengi sana hapa ,mfano agakhan,tmj,tumaini,Dr hammeir,Dr ndodi na amepimwa vipimo mbalimbali hajaonesha kama ana tatizo lolote.

Kwenye suala la usafi namfanyia usafi wa hali ya juu sana,hajawahi kurudia kuvaa nguo,nguo zake ni matilio ya pamba,anaoga mara 2 asbh na jion,vitu vyake vya kuchezea nasafisha kila wiki, chakula chake namwandalia mwenyewe mara nyingi.

Baadhi ya ma DR walishauri asipewe sukari,soda,juise za viwandani vyote hivyo nimezingatia,juise nampa niliyotengeneza mwenyewe bila kuweka sukari,ila uji wake namwekea asali ilihakikishwa na mtaalam wa asali kuwa ni asali nzuri, na chakula chake anapewa visivyokobolewa hata unga wa uji natengeneza mwenyewe kwa usalama zaid.

Kwa bahati nzuri muda mwingi nipo naye kwasababu ni mjasiriamali so muda wa kuwa pamoja nawe naupata bila tatizo. Japo hapati homa, wala haumwi umwi, shule anaenda bila tatizo na darasani anafanya vizuri sana, tatizo NGOZI YAKE SIYO NYORORO MUDAMWINGI ANA VIPELE VIDOGO VIDOGO VYA JOTO, havimwashi wala kumuuma, nimempaka mafuta ya nazi nilitengeneza mwenyewe,haijasaidia, sasa hivi nampaka vaseline ya watoto na kumwogeshea sabuni ya mbuni, niliacha kutumia johnson baby nilipoona haimsaidii.

Doctor wa mara ya mwisho alisema suluhisho ni kuishi naye sehemu za baridi kwa sababu joto la Dar linamwathili, ila mvua ikinyesha siku 3 au zaidi na joto likipingua anakuwa na ngozi nzuri mpaka inapendeza,kuna kipindi nilisafiri naye kwenda lushoto alikuwa na ngozi nzuri kupita kiasi kwa sababu kule kuna baridi sana,niliporudi naye Dar vipele vikarudi tena,pia joto likiongezeka vipele vinaanza tena.

Sijawahi kumpaka dawa za cream kwa kuhofia kuharibu kinga yake ya ngozi.Kama dawa ni kuishi naye sehemu ya baridi ,je hakuna dawa ya kutibu tatizo hili?, na mwisho wa tatizo hili ni miaka mingap?? ana miaka 5 sasa.

Nampenda sana mwanangu napenda kumwona akiwa na ngozi isiyo na kipele kama zilivyo ngozi za watoto wengine pamoja na ngozi zetu sisi wazazi wake, tafadhali naomba msaada wenu.

Pia samahani kwa kuandika ndefu inaweza kuwachosha ,nisamehe katika hili nia yangu ni kutoa maelezo ya kutosha.

Asanteni.
 
Sasa wewe daktari kashakushauri na mengine ulishafanya ukaona mabadiliko kwa mwanao.
Unataka ushauri gani tena jamani?
Haya mpake karolaiti.
 
Dawa ya vipele kwenye ngozi........????

Bila hata kuandika kwamba unampenda sana mwanao, maelezo yako yanaonesha kwamba unampenda mwanao kupindukia na hili mimi naona ni jambo jema sana. Wasiwasi wangu ni hizo tiba unazutumia hivi ni za muhimu kweli?

Mwenyewe umeshathibitisha kuwa ni joto ndio linaharibu ngozi ya mwanao. Na kama ni joto hakuna dawa inayoweza kumtibu isipokuwa kama una uwezo wa kubadilisha hali ya hewa au kwa kumhamisha kwenda sehemu ambazo hazina joto, au fedha ambazo unazitumia kwa wataalamu waweza zitumia kwa kubadilisha mazingira ya nyumbani.

Hapa nina maana chumba anacholala kiwe na singbpard zuri, madirisha makubwa ambayo hayana top, na ikiwezakana umuwekee na kiyoyozi. Kwa sababu mara nyingi joto linaloumiza sana ni lile la usiku kitandani. Na tena hakikisha kama ni muhimu kujifunika shuka usiku basi ajifunike shuka nyepesi ya pamba. Na mchana avae nguo nyepesi za pamba.

Mafuta ya nazi unayompaka ni miongoni mwa mafuta yanayongeza joto, ndio maana watoto wachanga huwa wanapakwa mafuta hayo ili wasipate baridi.

Kuwa makini na baadhi ya ushauri unaopewa hasa kwa masuala ya chakula, mafuta, na dawa, kumbuka siku hizi ni soko huria, na tuna wataalamu huria. Kuna watu wanatangaza wana dawa zimethibitishwa hata na mkemia mkuu kumbe................ ukiwa na tatizo tosheka na wataamu wetu wanaolipwa mshahara na serikali yetu ambao mshahara huo hata wewe umeuchangia kupitia kodi yako.

Mpe pole atapona.
 
HABARI?, SAMAHANI NAOMBA NIAMBIWE TIBA YA VIPELE KWENYE NGOZI KWA MTOTO AU DOCTOR BINGWA ZAIDI WA MAGONJWA YA NGOZI KWA WATOTO. Nimezunguka kwa madoctor wengi sana hapa ,mfano agakhan,tmj,tumaini,Dr hammeir,Dr ndodi na amepimwa vipimo mbalimbali hajaonesha kama ana tatizo lolote. Kwenye suala la usafi namfanyia usafi wa hali ya juu sana,hajawahi kurudia kuvaa nguo,nguo zake ni matilio ya pamba,anaoga mara 2 asbh na jion,vitu vyake vya kuchezea nasafisha kila wiki, chakula chake namwandalia mwenyewe mara nyingi. Baadhi ya ma DR walishauri asipewe sukari,soda,juise za viwandani vyote hivyo nimezingatia,juise nampa niliyotengeneza mwenyewe bila kuweka sukari,ila uji wake namwekea asali ilihakikishwa na mtaalam wa asali kuwa ni asali nzuri, na chakula chake anapewa visivyokobolewa hata unga wa uji natengeneza mwenyewe kwa usalama zaid.kwa bahati nzuri muda mwingi nipo naye kwasababu ni mjasiriamali so muda wa kuwa pamoja nawe naupata bila tatizo. Japo hapati homa, wala haumwi umwi, shule anaenda bila tatizo na darasani anafanya vizuri sana, tatizo NGOZI YAKE SIYO NYORORO MUDAMWINGI ANA VIPELE VIDOGO VIDOGO VYA JOTO, havimwashi wala kumuuma, nimempaka mafuta ya nazi nilitengeneza mwenyewe,haijasaidia, sasa hivi nampaka vaseline ya watoto na kumwogeshea sabuni ya mbuni, niliacha kutumia johnson baby nilipoona haimsaidii.
Doctor wa mara ya mwisho alisema suluhisho ni kuishi naye sehemu za baridi kwa sababu joto la Dar linamwathili, ila mvua ikinyesha siku 3 au zaidi na joto likipingua anakuwa na ngozi nzuri mpaka inapendeza,kuna kipindi nilisafiri naye kwenda lushoto alikuwa na ngozi nzuri kupita kiasi kwa sababu kule kuna baridi sana,niliporudi naye Dar vipele vikarudi tena,pia joto likiongezeka vipele vinaanza tena. Sijawahi kumpaka dawa za cream kwa kuhofia kuharibu kinga yake ya ngozi.Kama dawa ni kuishi naye sehemu ya baridi ,je hakuna dawa ya kutibu tatizo hili???, na mwisho wa tatizo hili ni miaka mingap?? ana miaka 5 sasa.
NAMPENDA SANA MWANANGU NAPENDA KUMWONA AKIWA NA NGOZI ISIYO NA KIPELE KAMA ZILIVYO NGOZI ZA WATOTO WENGINE PAMOJA NA NGOZI ZETU SISI WAZAZI WAKE, TAFADHALI NAOMBA MSAADA WENU...PIA SAMAHANI KWA KUANDIKA NDEFU INAWEZA KUWACHOSHA ,NISAMEHE KATIKA HILI NIA YANGU NI KUTOA MAELEZO YA KUTOSHA....ASANTENI.

Habari nzuri,pole sana kwa tatizo la ngozi ya mwanao.....nadhani kwa kupitia maelezo yako inaonekana mtoto wako anamzio (allergy) na hakuna dawa mahususi ya mzio, zaidi ya kuepuka vile viamshi vya huwo mzio, nenda hospitali akafanyiwe skin test ili kuweza kujua ni nini huwa ina trigger hiyo allergy yake ili uweze kumuepusha navyo....

Pia jaribu kwenda katika kituo kimoja cha tiba za kichina kipo pale Magomeni mikumi ukajaribu dawa zao.
 
HABARI?, SAMAHANI NAOMBA NIAMBIWE TIBA YA VIPELE KWENYE NGOZI KWA MTOTO AU DOCTOR BINGWA ZAIDI WA MAGONJWA YA NGOZI KWA WATOTO. Nimezunguka kwa madoctor wengi sana hapa ,mfano agakhan,tmj,tumaini,Dr hammeir,Dr ndodi na amepimwa vipimo mbalimbali hajaonesha kama ana tatizo lolote. Kwenye suala la usafi namfanyia usafi wa hali ya juu sana,hajawahi kurudia kuvaa nguo,nguo zake ni matilio ya pamba,anaoga mara 2 asbh na jion,vitu vyake vya kuchezea nasafisha kila wiki, chakula chake namwandalia mwenyewe mara nyingi. Baadhi ya ma DR walishauri asipewe sukari,soda,juise za viwandani vyote hivyo nimezingatia,juise nampa niliyotengeneza mwenyewe bila kuweka sukari,ila uji wake namwekea asali ilihakikishwa na mtaalam wa asali kuwa ni asali nzuri, na chakula chake anapewa visivyokobolewa hata unga wa uji natengeneza mwenyewe kwa usalama zaid.kwa bahati nzuri muda mwingi nipo naye kwasababu ni mjasiriamali so muda wa kuwa pamoja nawe naupata bila tatizo. Japo hapati homa, wala haumwi umwi, shule anaenda bila tatizo na darasani anafanya vizuri sana, tatizo NGOZI YAKE SIYO NYORORO MUDAMWINGI ANA VIPELE VIDOGO VIDOGO VYA JOTO, havimwashi wala kumuuma, nimempaka mafuta ya nazi nilitengeneza mwenyewe,haijasaidia, sasa hivi nampaka vaseline ya watoto na kumwogeshea sabuni ya mbuni, niliacha kutumia johnson baby nilipoona haimsaidii.
Doctor wa mara ya mwisho alisema suluhisho ni kuishi naye sehemu za baridi kwa sababu joto la Dar linamwathili, ila mvua ikinyesha siku 3 au zaidi na joto likipingua anakuwa na ngozi nzuri mpaka inapendeza,kuna kipindi nilisafiri naye kwenda lushoto alikuwa na ngozi nzuri kupita kiasi kwa sababu kule kuna baridi sana,niliporudi naye Dar vipele vikarudi tena,pia joto likiongezeka vipele vinaanza tena. Sijawahi kumpaka dawa za cream kwa kuhofia kuharibu kinga yake ya ngozi.Kama dawa ni kuishi naye sehemu ya baridi ,je hakuna dawa ya kutibu tatizo hili???, na mwisho wa tatizo hili ni miaka mingap?? ana miaka 5 sasa.
NAMPENDA SANA MWANANGU NAPENDA KUMWONA AKIWA NA NGOZI ISIYO NA KIPELE KAMA ZILIVYO NGOZI ZA WATOTO WENGINE PAMOJA NA NGOZI ZETU SISI WAZAZI WAKE, TAFADHALI NAOMBA MSAADA WENU...PIA SAMAHANI KWA KUANDIKA NDEFU INAWEZA KUWACHOSHA ,NISAMEHE KATIKA HILI NIA YANGU NI KUTOA MAELEZO YA KUTOSHA....ASANTENI.

M-post ulaya, esp Kiev au Moscow atapaenjoy
 
Asante kwa ushauri wenu mzuri, kuhusu mafuta ya nazi nimepata uelewa nilikuwa sijui kama yanaongeza joto na ndiyo maana hayakumsaidia kabisa kipindi nampaka...kuhusu kubadilishabadilisha ma dr hili nimelizingatia sana nina mwaka sasa sijaenda tena hospitali kutibiwa hivi vipele vya joto, huwa naenda kwa matatizo mengine tu.

Baada ya dr bingwa wa watoto aliyeniambia kuwa dawa pekee ni kuishi naye sehemu zenye baridi ...kila nipatapo nafasi najitahidi kwenda naye mikoa yenye baridi ili angalau aondokane navyo na hakika ngozi yake inakuwa laini na nyororo kipindi chote tunachokuwa wote huko.

Nawashukuru sana sana wote mliotoa ushauri wenu,,asanteni...japo huyo aliyesema nimpake kalorite kidogo ameniumiza lakin nimemsamehe kwa 7bu kila mtu kikatiba ana uhuru wa kutoa maoni yake ........tutaendelea kuwasiliana jf.
 
HABARI?, SAMAHANI NAOMBA NIAMBIWE TIBA YA VIPELE KWENYE NGOZI KWA MTOTO AU DOCTOR BINGWA ZAIDI WA MAGONJWA YA NGOZI KWA WATOTO. Nimezunguka kwa madoctor wengi sana hapa ,mfano agakhan,tmj,tumaini,Dr hammeir,Dr ndodi na amepimwa vipimo mbalimbali hajaonesha kama ana tatizo lolote. Kwenye suala la usafi namfanyia usafi wa hali ya juu sana,hajawahi kurudia kuvaa nguo,nguo zake ni matilio ya pamba,anaoga mara 2 asbh na jion,vitu vyake vya kuchezea nasafisha kila wiki, chakula chake namwandalia mwenyewe mara nyingi. Baadhi ya ma DR walishauri asipewe sukari,soda,juise za viwandani vyote hivyo nimezingatia,juise nampa niliyotengeneza mwenyewe bila kuweka sukari,ila uji wake namwekea asali ilihakikishwa na mtaalam wa asali kuwa ni asali nzuri, na chakula chake anapewa visivyokobolewa hata unga wa uji natengeneza mwenyewe kwa usalama zaid.kwa bahati nzuri muda mwingi nipo naye kwasababu ni mjasiriamali so muda wa kuwa pamoja nawe naupata bila tatizo. Japo hapati homa, wala haumwi umwi, shule anaenda bila tatizo na darasani anafanya vizuri sana, tatizo NGOZI YAKE SIYO NYORORO MUDAMWINGI ANA VIPELE VIDOGO VIDOGO VYA JOTO, havimwashi wala kumuuma, nimempaka mafuta ya nazi nilitengeneza mwenyewe,haijasaidia, sasa hivi nampaka vaseline ya watoto na kumwogeshea sabuni ya mbuni, niliacha kutumia johnson baby nilipoona haimsaidii.
Doctor wa mara ya mwisho alisema suluhisho ni kuishi naye sehemu za baridi kwa sababu joto la Dar linamwathili, ila mvua ikinyesha siku 3 au zaidi na joto likipingua anakuwa na ngozi nzuri mpaka inapendeza,kuna kipindi nilisafiri naye kwenda lushoto alikuwa na ngozi nzuri kupita kiasi kwa sababu kule kuna baridi sana,niliporudi naye Dar vipele vikarudi tena,pia joto likiongezeka vipele vinaanza tena. Sijawahi kumpaka dawa za cream kwa kuhofia kuharibu kinga yake ya ngozi.Kama dawa ni kuishi naye sehemu ya baridi ,je hakuna dawa ya kutibu tatizo hili???, na mwisho wa tatizo hili ni miaka mingap?? ana miaka 5 sasa.
NAMPENDA SANA MWANANGU NAPENDA KUMWONA AKIWA NA NGOZI ISIYO NA KIPELE KAMA ZILIVYO NGOZI ZA WATOTO WENGINE PAMOJA NA NGOZI ZETU SISI WAZAZI WAKE, TAFADHALI NAOMBA MSAADA WENU...PIA SAMAHANI KWA KUANDIKA NDEFU INAWEZA KUWACHOSHA ,NISAMEHE KATIKA HILI NIA YANGU NI KUTOA MAELEZO YA KUTOSHA....ASANTENI.
Habari za kulea? Bila shaka mtoto amekuwa mkubwa! Vipi vipele viliisha? Anaendeleaje? Hata mimi katika tafutatafuta, ndo nimekutana na thread yako. Mi ni katoto ka miezi mi 2.5 na kameanza kutoka vipele vinasambaa mwilini. Naomba experience yako.
 
Habari Wakuu,

Naomba msaada wa kujua dawa ya vipele vya mchafuko wa damu.

Mwanangu anajikuna mpaka anatoka vidonda.
 
Hiyo itakuwa scabbies nenda duka la dawa tafuta lotion ya scabbies, halafu tiba nyingine ni usafi fua nguo kila siku na kupiga pasi kila siku abadilishe mashuka
 
Wakitokea watu watano tofauti wanakwambia aina tofauti za dawa utatumia ipi? na vipimo vya kumpa huyo dogo je, utagoogle au utauliza tena?
Nenda hospitali.
 
Pole sana ndg kwn matatizo ktk dunia yanatupata ss na tunayatafutia njia cc wenyewe mm cha kukushauri jaribu kutumia karanga iliyosagwa (tui LA Karanga) Mara mbili kwa siku asubh na jioni unampaka sehemu zote za mapele baada ya kumaliza kuoga hakika atapona mtoto wako ndg .Pole sana
 
Habari?,

Samahani naomba niambiwe tiba ya vipele kwenye ngozi kwa mtoto au doctor bingwa zaidi wa magonjwa ya ngozi kwa watoto.


Nimezunguka kwa madoctor wengi sana hapa ,mfano agakhan,tmj,tumaini,Dr hammeir,Dr ndodi na amepimwa vipimo mbalimbali hajaonesha kama ana tatizo lolote.

Kwenye suala la usafi namfanyia usafi wa hali ya juu sana,hajawahi kurudia kuvaa nguo,nguo zake ni matilio ya pamba,anaoga mara 2 asbh na jion,vitu vyake vya kuchezea nasafisha kila wiki, chakula chake namwandalia mwenyewe mara nyingi.

Baadhi ya ma DR walishauri asipewe sukari,soda,juise za viwandani vyote hivyo nimezingatia,juise nampa niliyotengeneza mwenyewe bila kuweka sukari,ila uji wake namwekea asali ilihakikishwa na mtaalam wa asali kuwa ni asali nzuri, na chakula chake anapewa visivyokobolewa hata unga wa uji natengeneza mwenyewe kwa usalama zaid.

Kwa bahati nzuri muda mwingi nipo naye kwasababu ni mjasiriamali so muda wa kuwa pamoja nawe naupata bila tatizo. Japo hapati homa, wala haumwi umwi, shule anaenda bila tatizo na darasani anafanya vizuri sana, tatizo NGOZI YAKE SIYO NYORORO MUDAMWINGI ANA VIPELE VIDOGO VIDOGO VYA JOTO, havimwashi wala kumuuma, nimempaka mafuta ya nazi nilitengeneza mwenyewe,haijasaidia, sasa hivi nampaka vaseline ya watoto na kumwogeshea sabuni ya mbuni, niliacha kutumia johnson baby nilipoona haimsaidii.

Doctor wa mara ya mwisho alisema suluhisho ni kuishi naye sehemu za baridi kwa sababu joto la Dar linamwathili, ila mvua ikinyesha siku 3 au zaidi na joto likipingua anakuwa na ngozi nzuri mpaka inapendeza,kuna kipindi nilisafiri naye kwenda lushoto alikuwa na ngozi nzuri kupita kiasi kwa sababu kule kuna baridi sana,niliporudi naye Dar vipele vikarudi tena,pia joto likiongezeka vipele vinaanza tena.

Sijawahi kumpaka dawa za cream kwa kuhofia kuharibu kinga yake ya ngozi.Kama dawa ni kuishi naye sehemu ya baridi ,je hakuna dawa ya kutibu tatizo hili?, na mwisho wa tatizo hili ni miaka mingap?? ana miaka 5 sasa.

Nampenda sana mwanangu napenda kumwona akiwa na ngozi isiyo na kipele kama zilivyo ngozi za watoto wengine pamoja na ngozi zetu sisi wazazi wake, tafadhali naomba msaada wenu.

Pia samahani kwa kuandika ndefu inaweza kuwachosha ,nisamehe katika hili nia yangu ni kutoa maelezo ya kutosha.

Asanteni.

Dawa ya vipele mpeleke bagamoyo akaoge.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom