Recent content by Tommy 911

  1. Tommy 911

    Natafuta kazi, nina BSc Chemistry

    Maslahi ndugu
  2. Tommy 911

    Natafuta kazi, nina BSc Chemistry

    Habari Wana jf. Mimi ni mwajiriwa kutokana na maslahi madogo natafuta kazi field ya chemistry. Nina uzoefu kwenye steel industry mwaka mmoja na nusu.
  3. Tommy 911

    Natafuta kazi ya quality control(mkemia) au lab technician

    Habarini wakuu. Mimi ni quality control lab technician nina bsc chemistry pia Nina uzoefu wa mwaka na miezi minne katika steel industry. Natafuta kazi viwandani,migodini kote nafit. Ukinisaidia kuna pesa ya maji. Asanteni
  4. Tommy 911

    Usimdharau mwekezaji

    Kaka naomb uwe financial coach wang utt amis ulisave vp 60m?
  5. Tommy 911

    Nahitaji mkopo Tsh. 350,000/=

    Nimeshakucheki mkuu
  6. Tommy 911

    Nahitaji mkopo Tsh. 350,000/=

    Eeh coz ikiingia akate chake
  7. Tommy 911

    Nahitaji mkopo Tsh. 350,000/=

    Taasisi binafsi mkuu
  8. Tommy 911

    Nahitaji mkopo Tsh. 350,000/=

    Situmii io sim banking
  9. Tommy 911

    Nahitaji mkopo Tsh. 350,000/=

    Sina dhamn ila nawez kukuachia ata card ya bank mshahara unayoptia
  10. Tommy 911

    Nahitaji mkopo Tsh. 350,000/=

    Habarini wanaJF nina shida nahitaji mkopo wa haraka w 350,000 tsh. Riba iwe ata 20% ni sawa. Msaada tafadhali
  11. Tommy 911

    Mtaji wa Tsh 300,000 na faida ya uhakika Tsh. 50,000

    I Itaje io biashara watu wakupe ushauri
Back
Top Bottom