Recent content by Tomaa Mireni

  1. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Logical contradictions zilizopo kwenye kitabu cha Mwanzo cha Biblia ambazo ni uthibitisho tosha kwamba, Biblia ni hadithi na hekaya za kutungwa tu!

    Una uelewa mdogo, kwa hiyo mwanga unaozalishwa na taa unatokana na jua? Kuna tofauti kati ya mwanga na jua, haiitaji akili ya darasani
  2. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Alichosema Ali B ni ukweli kwa Dunia ya sasa

    Japo upendo ni bora kuliko kila kitu ila pesa inaweza kuvunja kila kitu. Nakumbuka hata mkoani nakotoka pesa inaweza kukufanya ukawa kama mungu mtu, kila mtu unaweza kumtuma na kumkoromea. Ukiwa na pesa makosa yako kwa wazazi watapewa wengine, iwe ni wadogo zako au kaka zako, ukiwa na pesa...
  3. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Kuhusu AI contents kwenye Mitandao ya kijamii

    Mimi hata kuangalia tu naona kero kubwa sana, hazina uhalisia na hazivutii
  4. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Router za Airtel Unlimited Internet ina kikomo. 500GB baada ya hapo wanalimit speed vibaya sana!

    Niliwahi kutumia zaidi ya 2TB na sikuona kwa Vodacom
  5. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa TABIA YAKO inaendana na HERUFI YA KWANZA YA JINA LAKO wacha nikufahamishe

    Huu si uganga huu,mbona kama kila kitu ni kweli?
  6. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Nashauri watu wa mikoani msiruhusu mabinti zenu kwenda kufanya kazi za ndani Arusha na Kilimanjaro, Wanawake wengi wa huko ni wakatili

    Wazo zuri sana l, serikali ingeleta mfumo wa aina hii wangeteseka au kutafutwa kwa tabu
  7. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Nashauri watu wa mikoani msiruhusu mabinti zenu kwenda kufanya kazi za ndani Arusha na Kilimanjaro, Wanawake wengi wa huko ni wakatili

    Hayo yanafanywa na maboss wengi sana,hata mm nimewahi kupitia hali hiyo lakini bado sihalalishi kuwa ni kwa wote
  8. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Nashauri watu wa mikoani msiruhusu mabinti zenu kwenda kufanya kazi za ndani Arusha na Kilimanjaro, Wanawake wengi wa huko ni wakatili

    Mateso ya nyumba 1 huwezi kuhalalisha kwa mikoa miwili,huna ushahidi wa kutosha,hata Dar tu pekee wapo waajiri makatili lakini hatuwezi kusema ni mkoa mzima
  9. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Napinga mechi ya ngao ya jamii kupelekwa Zanzibar

    Endeleeni kuvumilia mpaka 2030
  10. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Hata makampuni yakiwa na silaha bila mnunuzi zina faida gani? Makampuni hayaendi kuzitumia kupigana, Makampuni hayana wanajeshi wa kuzitumia bila mteja wao serikali. Serikali haiendi mikono mitupu kuchukua silaha bila pesa. Kwa hiyo hoja yako imekufa rasmi
  11. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Janga zito toka TTCL kwa wafanyabishara wa Wi-Fi

    Kwa sasa nimeachana nao rasmi, mpaka watakaporudisha mfumo wa mwanzo
  12. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Janga zito toka TTCL kwa wafanyabishara wa Wi-Fi

    Asee mtaani ni majanga,kumbe mwanzo mlikuwa mna access ya logins?
Back
Top Bottom