Asee ni kweli mkuu lakini kama anashindwa kuresize iyo 10k ya nauli ili aweze kuilipa basi hali yake itakuwa ngumu, kwa mfumo wa Kiafrika pambana kuendana na mabadiliko, punguza matumizi yasiyo ya lazima ili ujazie iyo ya naul. Mambo mengine huwezi kubadili hata ufanye nini.
Kama ni mwajiriwa wa serikali angalia makazi ya karibu na kazini, unafanya kazi tmk kwanini ukakae Kimara? au tegeta? Panga hapo Mbagala, buza n.k.
Usiishi sehemu kwa kufata mkumbo, hasa marafiki na ndugu, angalia unafuu wako wa kufika kazini tu.
Mfano mm wakati naanza maisha nilitaka kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.