Mateso ya nyumba 1 huwezi kuhalalisha kwa mikoa miwili,huna ushahidi wa kutosha,hata Dar tu pekee wapo waajiri makatili lakini hatuwezi kusema ni mkoa mzima
Hata makampuni yakiwa na silaha bila mnunuzi zina faida gani?
Makampuni hayaendi kuzitumia kupigana,
Makampuni hayana wanajeshi wa kuzitumia bila mteja wao serikali.
Serikali haiendi mikono mitupu kuchukua silaha bila pesa. Kwa hiyo hoja yako imekufa rasmi
Niliwahi kuandika humu kuhusu biashara ya WIFI kwenye jukwaa la story of change lakini watu walipokea kitofauti kwenye jukwaa lakini kiuhalisia iligusa wengi na watu wanajipatia kipato. Biashara hiyo 1 imezalisha biashara au ajira zaidi ya wazo hilo.
Sasa nasikitika sana kampuni ya serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.