Recent content by Tomaa Mireni

  1. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Kuhusu AI contents kwenye Mitandao ya kijamii

    Mimi hata kuangalia tu naona kero kubwa sana, hazina uhalisia na hazivutii
  2. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Router za Airtel Unlimited Internet inakikomo. 500GB baada ya hapo wanalimit speed vibaya sana!

    Niliwahi kutumia zaidi ya 2TB na sikuona kwa Vodacom
  3. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa TABIA YAKO inaendana na HERUFI YA KWANZA YA JINA LAKO wacha nikufahamishe

    Huu si uganga huu,mbona kama kila kitu ni kweli?
  4. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Nashauri watu wa mikoani msiruhusu mabinti zenu kwenda kufanya kazi za ndani Arusha na Kilimanjaro, Wanawake wengi wa huko ni wakatili

    Wazo zuri sana l, serikali ingeleta mfumo wa aina hii wangeteseka au kutafutwa kwa tabu
  5. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Nashauri watu wa mikoani msiruhusu mabinti zenu kwenda kufanya kazi za ndani Arusha na Kilimanjaro, Wanawake wengi wa huko ni wakatili

    Hayo yanafanywa na maboss wengi sana,hata mm nimewahi kupitia hali hiyo lakini bado sihalalishi kuwa ni kwa wote
  6. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Nashauri watu wa mikoani msiruhusu mabinti zenu kwenda kufanya kazi za ndani Arusha na Kilimanjaro, Wanawake wengi wa huko ni wakatili

    Mateso ya nyumba 1 huwezi kuhalalisha kwa mikoa miwili,huna ushahidi wa kutosha,hata Dar tu pekee wapo waajiri makatili lakini hatuwezi kusema ni mkoa mzima
  7. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Napinga mechi ya ngao ya jamii kupelekwa Zanzibar

    Endeleeni kuvumilia mpaka 2030
  8. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Hata makampuni yakiwa na silaha bila mnunuzi zina faida gani? Makampuni hayaendi kuzitumia kupigana, Makampuni hayana wanajeshi wa kuzitumia bila mteja wao serikali. Serikali haiendi mikono mitupu kuchukua silaha bila pesa. Kwa hiyo hoja yako imekufa rasmi
  9. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Janga zito toka TTCL kwa wafanyabishara wa Wi-Fi

    Kwa sasa nimeachana nao rasmi, mpaka watakaporudisha mfumo wa mwanzo
  10. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Janga zito toka TTCL kwa wafanyabishara wa Wi-Fi

    Asee mtaani ni majanga,kumbe mwanzo mlikuwa mna access ya logins?
  11. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Janga zito toka TTCL kwa wafanyabishara wa Wi-Fi

    Niliwahi kuandika humu kuhusu biashara ya WIFI kwenye jukwaa la story of change lakini watu walipokea kitofauti kwenye jukwaa lakini kiuhalisia iligusa wengi na watu wanajipatia kipato. Biashara hiyo 1 imezalisha biashara au ajira zaidi ya wazo hilo. Sasa nasikitika sana kampuni ya serikali...
  12. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Nikajua kumtimizia mahitaji mwanamke ndio kupendwa na kuonekana mume bora

    "Ishini nao kwa akili "sio ya darasani,sio fedha ishi kulingana na wako jinsi alivyo
  13. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii siwezi kuiamini VAR inayoongozwa na binadamu. Goli la Iran ni halali kabisa

    https://youtube.com/shorts/hlS9IjazlCU?si=rnmJ1LU_pBFjd_7G
Back
Top Bottom