Recent content by Tom lee Ab

  1. Tom lee Ab

    Tumia Soko la Hisa kujenga utajiri Mkubwa

    Soko nilichukuwa kwa 500 sasa naona mda wa kuvuna au soko lipo vip
  2. Tom lee Ab

    Msaada: Soko la limao

    Tani ngapi dalali anakula ngapi masoko yapo dar lete upige pesa
  3. Tom lee Ab

    Tumia Soko la Hisa kujenga utajiri Mkubwa

    Msaada kwa masoko ya hisa maaana nimenunua hisa katika bank ya yetu microfinance tangu mwaka 2018 mpaka sasa nataka kuziuza
  4. Tom lee Ab

    Wapi naweza pata soko la mahindi?

    Masoko yapo uku dsm yapo tani ngapi na tsh ngapi na dalali yake ngapi
  5. Tom lee Ab

    Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    Mimi ninazo hisa nilinunua yetu microfinance tangu 2018 mpaka sasa nataka kuziuza niende kampuni gani msaada
  6. Tom lee Ab

    Natafuta mafuta ya mawese kwa wanaouza jumla

    Bado yapo aya mafuta kama yapo na mimi na itaji ata dumu 5 za lita 20
  7. Tom lee Ab

    Natafuta mafuta ya mawese

    Bad yapo Bado unayo na mimi nipo dsm napataje nalakini pia grade 1 tsh ngapi na grade ya mwisho tsh ngapi
  8. Tom lee Ab

    Fursa ya Kilimo cha Chikichi kibiashara

    Nisaidie kitu kwa mimi wa dsm napataje mafuta yamawese. Grade 1 na kwa sasa dumu Tsh ngapi. Na pia napataje mafuta hayo hayo ya mawese grade ya mwisho yaani namaana yale ambayo ukigusa kwa kidole yanakua bado yana maback vidogo vidogo vya chikichi
Back
Top Bottom