Hatujawachangia Kwanzaa sababu hawana pesa za kulipa fine... Tumewachangia kwa sababu tumeona hiyo ni hukumu ya kidhalimu, chuki isiyo na chembe ya haki
Wewe uliona wapi hukumu ya miezi 5 unatakiwa kulipa fine ya 70m
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kisheria ushamba maana yake ni nini kwako wewe ni tusi (nawe pia ni mshamba) ushamba ni kutoelewa baadhi ya mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mayala tuliambiwa umezaliwa wakati wa njaa pengine hiyo ndo inakufanya uwe mnafiki.. Unarukaruka kama mahindi ya binsi kikaangoni embu tuambie huo ukweli uliodhihirika ni upi Alafu ngoja tukukumbushe kitu uzalendo sio kutetea serikali uzalendo ni kuitetea nchi kwa maslahi ya Mustakabali wa nchi...
Katika zote ulizozitaja ipi iliyokamilika zaidi ya ukuta wa mererani ambao hata mtu binafsi anaweza kuujenga
Aliyoyafanya kikwete
1. Sekondari za kata nchi nzima
2. chuo kikuu dodoma
3. Bomba la gas
4. Kinyerezi
5. Mabarabara ya lami
6. Hospital ya mlugazira
7. Daraja la kigamboni
Maandalizi...
Alichukua uraia wa canada kabla ya shria ya dual citizen haijapitishwa ...ameshauriwa aombe upya kitu ambacho anakipinga
Lakini juzi rais kenyata katika salamu za mwaka mpya alisema mkenya yeyote aliyoko nje anaweza kuja nyumbani kwake bila kipingamizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini akamatwe kwa kosa gani tatizo lenu nyie mafisiem mnadhani mzee meko ni mfalme kwamba atatawala milele ...yite yanawezekana na wala sio ajabu na yeye zito kama kiongozi wa kisiasa lazima ajipe moyo kwamba chama anachokiongoza kitaibuka mshindi uchaguzi unaokuja
Sent using Jamii Forums...
Wacha kutulisha matango pori mbowe hajaasema hivyo
Kasema kama kwenye uchaguzi mkuu 2020 ccm itafanya kama ilivyofanya kwenye chaguzi za mitaa ...mpatanishi atakuwa katibu mkuu wa UN
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.