Recent content by Tokoloshe

  1. T

    Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

    Young D na Nyandu wote vijugu! Kinachowaponza wengi ni 'upunda'. Kuna kitu inaitwa 'kikata mavi' yaani unavuta ukiwa umemeza kazi il I kukata haja.. Hapo ndo wanapoanza mdogomdogo. Pia wasanii wengi wana 'ngoma' na wanajijua so mawazo! Hao mademu wa Bongo movies ndo mama yaaangu acha tu huyo...
  2. T

    Mabalozi wote walio nje ya nchi kurudishwa

    kama huu ubalozi hapa pretoria S.A. ni janga hawana msaada wowote kwa watanzania na wana majibu ya dharau na kashfa noma
  3. T

    Nashauri Kalapina aungwe mkono katika harakati za kupambana na dawa za kulevya

    tena ni nooama kweli!mkuu biaahara hii ukiiangalia kwa jicho pana unaweza kufa kwa shock ukibahatika kuwajua hao ma Don!acha kabiasa hili balaaa ni kuomba Mungu tu hatuepushie hla hakuna mfumo wa kutokomeza ngada Tz kwa sasa.ni nom sana watu wengi wenye majina na heshma kubwa Tz wamo
  4. T

    Wana JF wa Morogoro tujuane hapa

    karibuni chipolopolo sabato
  5. T

    Orodha ya Majina 403 ya Vinara wa Madawa ya kulevya sasa hadharani

    maskini fatma chambo(tatiana bakar chambo)ameshavaa gwanda!mbona hamna majina ya jose kaniki na matumla kule ethiopia?ama washapewa dongo wengine hao wapopo na wakenya sema vinyago vya kibongo ndo vinawafanya waitwe watz wanapakaza kinoma..shadia(bint kiziwi) ndo atoki tena duh kweli Get rich o...
  6. T

    Nashauri Kalapina aungwe mkono katika harakati za kupambana na dawa za kulevya

    young D ndo anapikwa na hamidu.kama week mbili zilizopita walikua huko south.sio hao tu kina we**m cheketu na mpambe wake petutu manu ndo deal zinazowaweka town hii vita ni kubwa maana kuna hadi wabunge mapunda..mnajua kwa nini yule msanii nguruwe mweusi haombi tena?kanogewa huko kwa biznes.hata...
  7. T

    Nashauri Kalapina aungwe mkono katika harakati za kupambana na dawa za kulevya

    roger that!!!jamaa naye ni teja tu zile harakati ni kanyaboya kuchumia tumbo
  8. T

    Nashauri Kalapina aungwe mkono katika harakati za kupambana na dawa za kulevya

    sasa kama bob marley alikua anavuta ndo nini?suala hapa ni kalama si Bob..anapiga vita kitu anayovuta!pasop mie sio dogo heshima kwanza
Back
Top Bottom