Hapo kweli ni shida ndugu. Kwa mchanganuo wako hapo juu wala hakuna kinachobaki bali madeni na lawama. Wengine kama nyumbani mbali hata hawaendi kwa kukosa nauli
Zingatia michango ya wadau. Anzisha biashara ya mboga mboga. Kila mke mpe kibanda/meza yake then wewe simamia kama meneja ingawa na wewe unaweza ongeza vitu kama mkaa ili uwe bize siyo tu kusimamia
Hongera. Tin number hyo utaitumia ktk biashara zaidi ya 1 hata tgo,aitel na mpesa,genge n.k. ila leseni halmashauri au manispaa kuna afsa biashara atakupa leseni kulingana na aina ya biashara. Hapa tofauti na tra hawakadilii bali kila biashara inajulikana gharama zake. Kwa sasa lesen ni rahisi...
Mashine za kukoboa zinapatikana madukani hapa utahitaji kinu cha kukoboapia madukani vipo na bei ya kawaida.packaging waweza wasiliana na SIDO watakusaidia.Kama upo kanda ya ziwa mwnza maeneo ya Nyerere road utapata mashne hizo.
ZZK anafanya alichowhi kufanya akiwa chadema. Ninani asejua kuwa jamaa hivi unavyomuona ndivyoalivyoijenga chadema? aliwahi kumuita kada mmoja wa cdm kuwa ni kifaranga tu akimaaisha hakuna anachojua kuhusu ujenzi wa chama.
ZZK ni uwezo aliojaaliwa cha msingi tumumbee harakati zake zisiishie njiani
Mh. Asumpta hajui analofanya yeye yupo tu baada tu ya kuropoka pale bungeni wapiga kura wake wamemuona wa ajabu. Tarehe 14 Dec wakati wa uchaguzi alinusurika kipigo toka kwa wapiga kura alipojaribu kuingia ndani ya chumba cha uchaguzi kunusuru jahazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.