Unajua Shida yetu kubwa tunashindwa kuthamini uwezo na game plan ya timu pinzani
Au unadhani simba tulikuwa peke yetu pale dimbani
Au unadhani wao hawakujiandaa kwa ajili ya mechi hii
Tukiachilia mbali mafanikio mwanamuziki pekee hasa katika hiphop ambae hajawai kuchuja ni Mr Blue. Huyu jamaa ni noma anajua anachofanya na ukijaribu kumshirikisha kakufunika mfano ule mwimbo aloshirikishwa na Jux aliwafunika vibaya.
Hongera bayser
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.