Recent content by tochasia

  1. T

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    Jamani.............kitu ambacho hukijui ni lazima kitakutoa jasho la bure pasipo ongezi la maana. huyu mama kafanya MAZURI sana hapa ofisini .....tatizo ni kuwa watu wengi sii wafuatiliaji wa mambo na kwa kweli Watanzania wachache tuna tabia ya kujidharau na haswa mwenzetu akipata kazi nzuri...
  2. T

    Mke wangu atanifikisha pabaya

    KAKA...kuwa mpole. Siku ile ulipoanza kumpenda ile ndo formula yako ya kutatua hilo jambo. Lakini kumbuka wewe ni KICHWA cha nyumba na uamuzi wako ndo dawa ya yote. BE STRONG. A WOMAN - SHE IS JUST LIKE A MIRROR IF YOU FIND HER SMILES YOU'LL SMILE BACK TO HER.
  3. T

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Kwa kweli hayo yote yaliyosema hapo juu ni haki na kikubwa kwa Waislamu ni kuwa ........ONLY EDUCATION will take you whre you want to be.............ila tuu kwa kuzingatia mafunzo ya mtume wetu, tutafiak mabl;i zaidi kwani JAZBA na kejeli kwa wengine itainya imani yetu ionekane kama ya...
Back
Top Bottom