Ase mie pia nilikamilisha kila kitu na mwisho nikuwa na barua hiyo kutoka kwa mtendaji e bwana pindi nikikutana na hawa TRA kwani walinielewa wacha waninyoe ndugu hawa watu sio powa.
Ni kweli Mkuu unacho kiongea cha msingi ni umakini tu lakini kwa kuwa kama atanitafuta, sisi tuko huko, contact ziko hapo, mi nakuelekeza bila shaka kazi kwake atakavyo fanya.
Mdugu
Mtaji unaweza ukaanza hata milioni kumi na tano hivi ambapo mchanganuo ni hivi...
1.milion 10 unanunulia mzigo
2.milion 1800000 nauli ya mzigo
3.Sh laki 8 hivi ushuru
4.Sh laki 4 kupakia mzigo
5.kibali inategemeana unakodi au umekata maliasili lakini vyovyote vile ni rahisi tu
Ko...
Sio kiongozi wengi ndo tunasafirisha ni mbao nzuri kabisa na bora sana cha msingi awe na soko la kuaminika mzigo usikae zaidi ya miezi miwili au mitatu awe suplaya ni mbao supa kupinda ipo kazi na Miti imekoma sana.
Msitu wa serikali unalisha kwa sehemu ndogo sana sehemu kubwa ni mbao zinazo...
Bei Za kila size ya ubao
2x2=1200
1×4=1200
2×4=3200
2×3=2200
2×6=4300
1×8=5700
1×10=9600
Ushuru kila unao ni Tsh 250 haijalishi size ya ubao.
Nauli inategemeana na gari unayo pakia lakini ni ya kawaida tu lakini ili uone faida nzuri safirisha mzigo kwa kutumia Gari tani 30 au tani 15.
Kuhusu...
Kiongozi
2x2= Tsh 1200
1x4=Tsh 1200
2x4=Tsh 3300
2x6=Tsh 4200
1x8=Tsh 5700
1x10=Tsh 9500
Hizo ni bei za Kila size ya Mbao Nipigie cm 0737263867.
Nibiashara zuri sana ukiwa na soko la uhakika asikukatishe mtu tamaa mawa,o yako ni mazuri. Kuhusu maswala ya vibali ni rahisi sana maliasili...
Boss hiyo kitu ni nzuri sana Mimi sio mzoefu wa hiki kilimo ila nakifahamu mana najihusisha na biashara ya Mbao karibu kwa Mawasiliano nipo Makambako 0737263867
NIPO
WHATSAP KWA 0737263867 BIASHARA YA MAZAO YA NAFAKA NA MAZAO YA MITI YAANI MBAO MINUNDA BIASHARA POWA SANA
Na yote haya Mazao yanapatikana Hapa Makamnako Njombe bila shida karibu tukae mezani tufanye biashara.
MBAO NA MINUNDA YOTE IPO ILA KWA MINUNDA WEKA ODA MAPEMA IANDALIWE VIZURI.
KWA MBAO mda wote na size zote zipo Boss zangu karibu tufanye biashara conta t 0737263867
Bosi mi nipo Makambako biashara ya Mbao ipo na ni nzuri sana kama unahitaji kweli kufanya biashara hii karibu Boss mi nipo hapa na soko liko hapa Contact 0737263867
Jamani napenda Kukuambieni Karibu katika Bishara ya Maharage ni biashara nzuri sana na hautajuta kuwekeza katika biashara hii mana ina faida sana risk yake ni ndogo ukilinganisha na biashara nyingine.
Hata kwa wale wanao hitaji kufikishiwa mzigo Dar, Dodoma na popote tunaongea...Ila ni vema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.