Wakuu habari zenu, jamani niko kwenye mahusiano lakini ikitokea sijamtafuta nae anakausha, kapiga kimya mbaka sasa nakaribia mwezi sasa, hivi napendwa kweli? [emoji1784][emoji1784][emoji1784] Kiukweli naumia mungu tu anajua ni kiasi gani najiskia[emoji3525]
Msaada jamani nimenunua kipimo cha mimba nakujipima majibu yapo hivi:
Umetokea mstari mmoja kwa juu ila tu hili eneo lililobaki yani limevilia rangi kama nyekundu.
Je ina maana gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.