Ushauri jamani...

Ushauri jamani...

tnicasissamo

Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
6
Reaction score
1
Wakuu habari zenu, jamani niko kwenye mahusiano lakini ikitokea sijamtafuta nae anakausha, kapiga kimya mbaka sasa nakaribia mwezi sasa, hivi napendwa kweli? [emoji1784][emoji1784][emoji1784] Kiukweli naumia mungu tu anajua ni kiasi gani najiskia[emoji3525]
 
Nyie mnamapenzi ya mwana kulitafuta mwana kulipata!.. ndio maana mnaona tabu kutafutana.. subiri shetani aje ndo atakuambia kuwa hupendwi embe ng'ong'o mkubwa wee..
 
Si utafute bwana mwingine? Hivi mabinti mbona mnakua hivyo lakini?
 
Yani hamuwasiliani mwezi mzima alafu bado unakuja kuuliza humu kwani mpo vitani?
 
😂 😂 😂
Wewe mwenyewe haupo serious mkuu mwenye jina lako gumu.!
Wamekutana wote manunda. 😂😂😂

Sababu sioni shida ikiwa hajatafutwa yeye ndio akawa anamtafuta mwenzie sema wajua nini mdogo wangu si ajabu anaona akianza yeye basi uanaume wake utapotea.

Halafu yote kwa yote sasa watu ka hawa wakishaanza kuwasiliana NAKUPENDA NAKUPENDA zinakuwa nyiiingi mpaka basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom