Recent content by Tmlekwa

  1. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kuhusu ugonjwa wa Gerd

    Aisee....Pole sana ndugu yangu
  2. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kuhusu ugonjwa wa Gerd

    huyo mzee yupo wp nipe namba zake
  3. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Msaada: Dawa ya nyama za pua

    Siti ya mbele tusubiri wataalam.....halaf hili tatazo limeletwa humu mara kadhaa na watu tofaut tofaut lkn Sijaona alitoa Suluhisho...Uz hua unaishia njian tena ukuwa na wachangiaji wachacheeeee sijui kwa nini aisee
  4. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Captain Geogre Bantu kurithi usukani kuliongoza jahazi bila Captain Mkuu Gardner G. Habash

    ....Wamrudishe Mussa Hussen kwenye kipind cha Jahaz....Bantu wakiwa na Mussa kipindi hakitatetereka sana maana Musa Pia wanaendana na Bantu na hata kipind Gadnar Yupo Musa alionekana Ku fit...Gadner, Bantu na Mussa Hussein ilikua Combination Poa
  5. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Mateso haya mpaka lini?

    Duh...kuna siku nilishinda Bugando kuanzia saa 12 asbh nikaja kuonana na Huyo dokta Bunane saa 12 jion.....yaan kuniangalia tu kwa macho na maelezo yangu simple tu akanijibu nina allergy yaan niliaa nae dak 5 tu....nioichoka
  6. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano uka-block baadhi ya watu katika Group la WhatsApp ili usione msg zao?

    ...Hizo Text kwa kiswahili zinaitwaje
  7. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano uka-block baadhi ya watu katika Group la WhatsApp ili usione msg zao?

    ...No, kuna vitu muhimu pia ila wachache ndio wanaharibu na hao ndio nataka niwablock
  8. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano uka-block baadhi ya watu katika Group la WhatsApp ili usione msg zao?

    Hivi kuna uwezekano ukiwa katika Group la WhatsApp uka-block baadhi ya watu ili usione msg zao? Kwenye magroup kuna baadhi ya member msg zao zinakera.
  9. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Ni minada ipi iko vizuri kwa biashara?

    Singida kona ya Mudi pale ni Bia tu na nyama choama hakuna cha mitumba wala Vifaa vya Solar....ni Shangwe tu Bia na Nyama
  10. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Wakuu hivi watengeza ugoro huwa wanachanganya nini mpaka unakuwa mkali sana?

    Kwa kweli ugoro ni mbaya unaharibu vijana,,yaan vijana wadogo tu wakinywa tule tu pombe tu shingwaaa sijui wakila na ugiro wanakua kama wehu yaan
  11. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Wakuu hivi watengeza ugoro huwa wanachanganya nini mpaka unakuwa mkali sana?

    ...Hiv kwani ugoro unatokana na nini?...ni tumbaku au?
  12. Tmlekwa

    JamiiForums Tanzania Picha: Tupatie update ya eneo lako husika- El nino 2023/2024

    Pumguen mmejazana mno huko dar....
Back
Top Bottom