Recent content by Tmatimba

  1. T

    Msaada somo la Warehouse

    kuna swali linasema "delineate the concept of warehouse performance management and its objectives"
  2. T

    Bei ya Bajaji

    Natanguliza shukrani kwenu Wakuu nko Njombe nahitaji bajaji used iliyo katika hali nzuri, mwenye nayo tuwasliane kwa simu namba 0782496498
  3. T

    ITV Kipima Joto

    Mkuu pengne Jana hukuskikiza kipindi cha kipima joto, Maafsa wa TCU waliulizwa hili swali na ndvyo walivyojibu. Of course hata mei nlishangaa, walisema mabadiliko hayo yanawahusu eote wanaojidahili mwaka huu wa masomo sambamba na continuous students. Kama uliingia chuo ukitokea fm6 lazma uwe na...
  4. T

    ITV Kipima Joto

    Hii inawahusu continuous pia hasa waliotoka diploma kama uko 2nd au3rd year na matokeo yako ya dipoloma ulpata below 3.5gpa umeenda na maji mwanawane katafute kaz nyingne yakufanya.
  5. T

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    Ee Mungu Baba nkasema ahsante. Wakuu nmepata mkopo kupiga tia-Mbeya campus. Nkwel tia-Mbeya campus nmechaguliwa pa. Lakni kwenye profile yangu ya Nacte inaonyesha nmechaguliwa tia -dsm campus nanikweli hata kwnye website ya tia -dsm Jan langu Lipo. NOTE :Wote TIA dsm campus na TIA Mbeya...
  6. T

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    S0823 0224.2008 Msaada plz wakuuw
  7. T

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    S0823.0224.2008 Msaada plz
  8. T

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    S0823.0224.2008 Msaada plz
  9. T

    Waliochaguliwa Tanzania Institute of Accountancy, Dar Campus

    Nmekusoma mkuu, thanks kwa kunipa Matumaini Ckutaka kumubishia mshikaji kwani kumbukumbu zangu znathibisha nkweli kozi zote za TIA ni non priority Mkuu vp lakn chuo chenyewe academically mana vyuo vngne wanafunzi wanafelishwa hovyo hovyo
  10. T

    Waliochaguliwa Tanzania Institute of Accountancy, Dar Campus

    Ahsante kwa Malibu bomba mkuu. Nimechaguliwa Kozi ya Ugavi na Ununuzi bado nko home Simiyu nasubil third lot ya heslb. Mwaka sasa sina uhakika kma ntasoma mwaka huu mana kuna mtu kanambia kwa chuo cha TIA hawatapata mkopo b'se kozi zote sio za kipaumbele. Bado najipa matumaini na loan board...
  11. T

    Waliochaguliwa Tanzania Institute of Accountancy, Dar Campus

    Mpaka sasa tia dsm kuna Mwanachuo wa first year yoyote kapata mkopo? Kozi zote zahapo tia sio za kipaumbe, vpi kwa continuos students WaPo wanaolipiwa na bodi hiyo (heslb )
  12. T

    Re:nacte wameshafungua dirisha dogo la uhamisho wa vyuo

    Tatizo ukihama chuo lazma uhame na kozi. Hii ndo imenilemea. Nltaka kuhama chuo kozi cbadilishi. Sasa wao mpka ubadili na kozi. Hii haijakaa poa ase
  13. T

    Mkopo

    Wale wa Diploma holders tusiwe na shaka kitaeleweka tu. Kuna jamaa angu nmesoma naye tiyar kapats first lo So muwe na Subila Makamanda
  14. T

    Kwa waliochaguliwa TIA DAR

    Tia dsm Wanafungua kesho tarehe9 November. Admission form znspatikana chuoni kwa wingi bila chenga. Karibu sana mkuu
Back
Top Bottom