Recent content by Titus Tm

  1. T

    Kunywea pombe club ni hatari sana

    .....Uoga tu Huo...kama unaishi na watu vizur haina haja ya kuwa na mahofu yasiyo na kichwa wala miguuu....we wakuue kwa kutafuta nini hasa kwako kwanza hapo ulipo unakunywa ngumu kumeza watakuibia nini kwa mfano
  2. T

    Hivi ni kweli pombe kali ni dawa ya kikohozi?

    inauzwa sh ngp nikanunue
  3. T

    Tusilifananishe hili la mabadiliko ya Mawaziri na kisa cha aliyekuwa Waziri katika Serikali ya nchi jirani. Zipo sababu za msingi

    yeyw Biwot kwa sasa yupo wp au tayar nae anapambana na hali yake huko mawinguni?
  4. T

    Msaada: Tiba ya nyama za puani

    hiii Mada imeisha hivi hivi bila suluhisho...hii inaonesha hili tatizo halina tiba ni kukomaa nalo tu had utwaliwe
  5. T

    Tetesi: Kwaya ya Mt. Kizito yaalikwa UK

    lipo Dar Parokia ya Mt kizito makuburi
  6. T

    Msaada: Tiba ya nyama za puani

    Tupo wengi...mi ni mwaka sasa nasumbuka
Back
Top Bottom