Mi Nakushauri Uachane Naye
Kuna Maisha Baaya ya Yeye...
Inaonekana Hiyo Ni tabia Yake, as you said kwamba Anamtoto Aliyempata Kwenye mahusiano yake Mengine, Bado yuko na Wewe, wakati huo huo Yuko na Huyo Mme wa Mtu...
Hilo Pepo Ndugu Yangu.. Achana naye ,Kaa Muombe Mungu atakupa Mtu sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.