Chochote upandacho ndicho utakacho vuna.
Mauti na Uzima vimo midomoni mwa MTU, imani huona mbali kwa Imani Ibrahim alihesabiwa haki kuwa Baba wa mataifa, kwa imani Henoko hakuonja mauti, Kwa imani Hanna alipata mtoto Samwel, Mdomo huumba maana kinywa hunena yaujazayo moyo,
Ujana umejaa maono...