C.A.G yuko chama gan, hv mnahic haya maendeleo nisawa na lasilimali za hii nchi, kumbuka ni nchi ya 31:kwa ukubwadunian na nchi ya tatu kwa utajil wa atdhin dunian hebu mtafakari bojo milion kumi pesa ya mboga
ninyi watanzania ttzo upeo wa mtoto wa form one china nisawa na upeo wa profesa tanzania, uvivu wakusoma na kutafakari, upeo mdogo wa kudadis vinatumaliza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.