Recent content by tinkanyarwele

  1. tinkanyarwele

    Nimeota ndoto hii ya pete inamaana gani?

    Sijui kama utapata mtu wa kukupatia tafsiri sahihi
  2. tinkanyarwele

    Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

    Ni upumbavu Afrika kuitegemea Urusi na Ukraine kwa chakula na binafsi bado hata siamini kama ni kweli
  3. tinkanyarwele

    Car4Sale Magari used Tanzania

    Nimekuelewa sana
  4. tinkanyarwele

    Bajeti 2022/23 inang’ata, inapuliza

    Ndo kusema ada imefutwa kwa vidato vya5 na 6?
  5. tinkanyarwele

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Kwa namba 2 uongo mtu, 80%vijiji watu wako gizani
  6. tinkanyarwele

    Ndugu zetu wa Kagera kwanini mkoa wenu unaongoza kwa umasikini?

    Wewe ni kweli Kagera unaifahamu wengine wanashikilia maneno tu ya mitandao hawajui hata wanachoongea
  7. tinkanyarwele

    Ndugu zetu wa Kagera kwanini mkoa wenu unaongoza kwa umasikini?

    Hakuna jambo lolote mhaya anaweza kwenda kujifunza Kilimanjaro, njoo na ushaidi dhabiti ni jambo lipi watu wa Kagera watajifunza Kilimanjaro ambalo Kagera halipo?
  8. tinkanyarwele

    Ndugu zetu wa Kagera kwanini mkoa wenu unaongoza kwa umasikini?

    Bora wewe umesema kile ulicho kiona shida ni kwamba walio wengi wanabeba data za kwenye mitandao tu lakini hawajawahi hata kufika Kagera , ukweli huu mkoa umendelea sana kuliko mikoa mingi sana hapa nchini yamkini huwa kuna sababu zinazo chagiza jambo hili
  9. tinkanyarwele

    Ndugu zetu wa Kagera kwanini mkoa wenu unaongoza kwa umasikini?

    Hizi data huwa zina lengo fulani nyuma ya pazia si kweli kwamba Kagera ni mkoa maskini hata kidogo, ni ngumu kuamini haya bila mtu kuingia na kuzunguka Kagera, niliwaza kuwa labda mapato yanayo kusanywa kutoka Kagera basi hayaendi ipasavyo serikalini hivyo kuonyesha mkoa ni maskini. Ki ukweli...
  10. tinkanyarwele

    Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

    Namkubali sana huyu mwamba sema basi tu
  11. tinkanyarwele

    Mashine za mbao

    Bei zikoje mkuu?
  12. tinkanyarwele

    Ujana haudumu, kuchora tattoo kunaweza kukugharimu sana maisha yako ukubwani

    Ndonya za wamakonde ndiyo kwa upande mwingine ni kweli ndizo tatoo zenyewe lakini hiki ni kitu tofauti sana na hizi za kisasa haswa katika mitazamo na fikra za watu...hebu jaribu kufikiria wanaume wa Kimasai wanasuka nywele na jamii haina shida na hilo...lakini hebu niambie mwanaume wa...
Back
Top Bottom