Recent content by Tindikali

  1. Tindikali

    Mara: Boss wa TARURA ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za mauji ya mke wake

    Hawa ndio Watanganyika tunaosema ni waoga wa vyombo vya sheria, na hawana silaha na wanavumilia lolote uwafanyalo...
  2. Tindikali

    Yule Jasusi Aliyetoa Breaking News Tarehe 12 March Tukatangaziwa Tarehe 17 March, ametoa Breaking News Kule Jasusi TV

    Unabashiri, una assume, kwamba watawala dictatorial huwa kuna siri wanaogopa zisitoke. Tanzania kuna secret scandle ya kumtingisha kiongozi kama itavuja? Barua za briefcase carrier wa Rais ( hata hayuko kwenye chain of command yeyote ) anaamuru ma bilion yakalipe tenda za Anna Kizhiga...
  3. Tindikali

    Kaka yake Polepole anasema usiku watekaji walienda kwa mama yake

    Uko sahihi. Kassim Hanga alikuwa rare exception ya utaratibu wa kuwa punish viongozi waliokosana na serikali. Nyerere alikuwa anawafungia kijijini kwao au anawatia rumande miaka 10 bila mashtaka. Hanga alipotea. Mara ya mwisho alionekana na Nyerere Mnazi Mmoja, akimzodoa. Nyerere was an...
  4. Tindikali

    Kaka yake Polepole anasema usiku watekaji walienda kwa mama yake

    Mbunge wa Geita na Katibu Mwenezi wa TANU alimkosoa Nyerere mwaka wa 67 kuhusu Azimio la Arusha. Lakini hakuuliwa. Alifukuzwa chama na ubunge. Na wakawaambia waajiri wote, mpaka Kenya, wasimpe kazi. Akakaa kijijini anafuga ng'ombe. Alisoma Tabora School na shahada ya Uandishi Marekani...
  5. Tindikali

    Tusipochukua maamuzi magumu Taifa letu la Tanganyika litapotea kabisa

    Sheria ipi inakuwa imejadiliwa kirefu: Iliyopita saa 3 asubuhi au iliyopita saa 11 jioni? Ndo maana aliyetoa hoja hii kaingia mitini. Kasema sheria mbovu, ilipitishwa saa kumi na moji jioni. Ilipaswa ipitishwe saa ngapi, wakeshe nayo usiku kucha ? Bunge la bongo huwa linakesha na jambo...
  6. Tindikali

    Tusipochukua maamuzi magumu Taifa letu la Tanganyika litapotea kabisa

    Kwanza ahsante kuchukua muda wako kuandika uchambuzi ule. Nadhani imetoka kwa subject matter expert, na ambae alikuwemo kwenye mifumo. Hicho kitu tunakihitaji sana na kipo sana uzunguni, wachambuzi wengi kwenye press ni watumishi waliotoka kwenye mfumo, wanakosoa vitu ambavyo wanavyovijua, huku...
  7. Tindikali

    Israel yamuua Waziri mkuu wa Yemen

    Na DNA za Wapalestina wanaoshikilia mateka wa Israel na kuwaonyeha kwenye TV kila siku DNA zao hazijasomwa ? Wako Gaza Strip, padogo, SQ Meter 365. Kwa Tanzania huo ni mtaa, yani ikifika kama mitaa 10 ndo inakuwa kata moja, tuseme Mbagala labda, SQ Meter 2,500. Gaza Strip zipo kumi Mbagala...
  8. Tindikali

    Israel yamuua Waziri mkuu wa Yemen

    Tunaapa kwa Mungu, na kwa wapendwa watu wa Yemen, kwa familia za walijitoa mhanga pamoja na majeruhi, tutalipa kisasi, na tutageuza majeraha kuwa ushindi. Mahdi al-Mashat, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Siasa ya Wahouthi, amesema kwa njia ya video.
  9. Tindikali

    GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Okay, fine. Tumeelewa. Ndiio utaratibu. Na hauna exception huo utaratibu. Kwa nini mlifanya kimchakato cha uongo na kweli, na kura za mdomo za uongo na ukweli, kama utaratibu rasmi upo, na sio wa kura, za mdomo wala karatasi, na unajulikana, na unatumika ? Kwa nini CCM inaruhusiwa na Tume...
  10. Tindikali

    GE2025 Samia Kuongea na wazee pamoja na wakuu wa Mikoa kesho 27 /08/ 2025

    Leo ndio asikilize ya wazee, kwani yanayolalamikiwa kila siku ni ya watoto ???? Presentation yako ni ya uongo, haendi kuchukua busara za wazee.... hii huwa ni one way speech... anaenda kuongea ya kwake.... hotuba... wazee huwa hawampi Rais feedback,,, na hataki feedback Baada ya hotuba...
  11. Tindikali

    GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

    Jaji wa Tume kasema anataka amsikilize Polepole. Lakini kakimbilia kukanusha. Kwa hiyo Pole pole akim convince atabadili mawazo ? Na unakuaje hauko updated na suala la idara yako ambalo nchi inalijadili ? Asubuhi na mapema angewaagiza vijana wa hapo ofisini wamuonyeshe hizo dakika 10 ambazo...
  12. Tindikali

    Serikali yasaini mkataba Mgodi mkubwa wa Dhahabu wa Nyanzaga.Tanzania Kupata asilimia 20% vs 80% za Mwekezaji

    Bunge lilipovunjwa Agosti 3 uwaziri wa hawa watu haukuisha ? Oh no, God please! Give us a brake for 3 months, get these fvck faces away from us! Formula ya 50 / 50 ya Magufuli, what the hell happened to it ???
  13. Tindikali

    Walinzi wa mwili wa Putin ‘hukusanya kinyesi chake anaposafiri nje ya nchi na kukirudisha Urusi pamoja naye’

    Rais wa Africa hawezi kurudi nyumbani na choo Wakiugua kidogo wanaenda Ulaya, cha kwanza "Mheshimiwa tunaomba choo"! Jamani ni upele usoni, mbona sijawahi kuulizwa choo, "Mama, Madaktari wako ni fambo ndo maana umekuja kwetu, tunaomba choo please" ! Jamii tegemezi, hau train watu wako...
  14. Tindikali

    Waziri wetu Dkt. Gwajima, huyu “Anko T” Wizara yako imeshindwa kabisa kumuweka sawa?

    Issue nzito nzito kama hizi Mama Gwajima hawezi. Anaweza wanafunzi wamepigana chuoni. Hata issue ya dada wa Lake Oil kakung'utwa kazini. Waziri Gwajima mbona alipotea mjini ? Lakini kwa upande mwingine, hana kosa. Kwenye tawala kama hii ya sasa labda sio kazi zake hizo, mabosi zake Ikulu...
Back
Top Bottom