Recent content by Tindi

  1. Tindi

    Simu casio edifice

    N
  2. Tindi

    Naomba kufahamishwa kampuni nzuri ya bima za Magari ambao siyo wasumbufu

    Inatakiwa kuwa na thamani halisi wakati wa kukata bima unashauriwa kutumia valuers ili wakutajie thamani halisi. Gari mnaweza ukanunua pamoja kila mtu na lake kwa miaka 4 yakipata ajali yanaweza yakalipwa tofauti kwa sababu mbalimbali. Mfano gari ya kwanza ameiongeza thamani kwa kubadilisha...
  3. Tindi

    Bima ya mwezi mmoja

    Mkuu hayo mambo ya kizamani, sasa hivi ukikatiwa sticker ya bima inaingizwa kwenye mtandao ambo kila mtu aweza kuhakiki.Huna haja ya kupiga simu kwa wakala. Askari anaingiza no ya sticker tu kwwnye mfumo anapata taarifa zote. Sikushauri kufanya mchezo huu kabisa Kwani ukidakwa ni hatari. Pili...
  4. Tindi

    Uhakiki wa bima za magari!

    Naomba kukusahihisha kuwa crdb siyo kampuni ya bima ila ni wakala wa bima,pili tan re ni kampuni ya bima ila haifanyi kazi moja kwa moja na mteja (tunaiita reinsurance company). Kama huoni bima yako kuwa imesajiliwa nenda ulipokatia au kampuni husika utafanyiwa uhakiki na kusajiliwa hapo hapo.
  5. Tindi

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    X trail ni gari nzuri ila watum8aji na mafundi wa kunjunga ndio tatizo. X trail kama hybrid za toyota inataka recomendend lubricants usipotumia utazalisha matatizo na mwishowe kuharibu engine
  6. Tindi

    Ushauri kubadili injini toka 2NZ-FE kwenda 1NZ-FE Toyota Belta

    Lege zinatofauti kwenye gear box ,kuna zenye overdrive na ambazo hazina overdrive. Pia kuna zinazotumia CVT
  7. Tindi

    Ushauri kubadili injini toka 2NZ-FE kwenda 1NZ-FE Toyota Belta

    Hilo linawezekana mkuu kwani space ya kuweka engine ni sawa. Na ya 2nz. Ila itakubidi ununue engine na gear box yake kwa maana mfumo wa 1NZ uko mara tatu tofauti kwa ndani ila kwa nje uko sawa.
  8. Tindi

    Kubadili Timing belt + Gear box oil etc

    Kosa kubwa ni uelewa mdogo. Kila gari ina specification zake za gear box oil, ukikosea kuweka oil unaua gear box, kwa mfano automatic (atf) ziko nyingi cha msingi usome stic ya gear box imeandikwa no gani. Pili huwa haibadilishwi hovyo huyo anayekuambia kubadilisha kila baada ya service hayuko...
  9. Tindi

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo
  10. Tindi

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Lege,mshana naomba kukumbushwa sensor ambayo ikianza kufa gari huzima ukiwa umesimama huku gari ikiwa kwenye gia. Ila ukiweka parking au neutral haizimi.
  11. Tindi

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Transmission oil zinatofautiana sana sio kati ya cvt. Peke yake. Nakushauri usome stick ya gari husika,kwani ukibadilisha wrong transmission utaua gear box
  12. Tindi

    Coaster za Mbeya - Dar@Hakuna Kulala

    Kwa ushauri wangu usirudie kupanda gari hizo,wanaopanda wengi ni wafanyabiashara ambao hawataki kulala dar
Back
Top Bottom