Recent content by Tina Buu

  1. T

    Salamu

    HABARI YA SIKUKU WA JF WOTE, HERI YA MWAKA MPYA.
  2. T

    Maumivu makali

    Mbona yeye anashika ya kwangu?
  3. T

    Girls and women, take it from me

    Nimeipenda hiyo. Big up sugar
  4. T

    Maumivu makali

    Mimi ni dada wa miaka 38 nina watoto 3 kwenye ndoa nina miaka 13, mume wangu ana umri miaka 52. Mwaka huu mwanzoni nilifuma sms kwenye simu ya mume wangu akijibu sms ya mchepuko. Ni hivi mchepuko alimwandikia kwamba ana mimba yake, yeye akajibu kwamba sio mimba yake siku ambayo walikutana...
  5. T

    Huduma za changudoa

    Kwa kila tendo na kila neno, litatolewa hesabu yake siku ya hukumu. watu wazima hovyo!
  6. T

    Tangu nigundue tabia za mume wangu sina hamu nae tena

    To all JF Members, Nashukuru kwa ushauri wenu nyote mliotoa ushauri kwangu. Ushauri mbaya ntaachana nao ushauri mzuri ntaufanyia kazi, nimatumaini yangu ndoa yangu itapona. Asanten sana. Christina
  7. T

    Tangu nigundue tabia za mume wangu sina hamu nae tena

    Chahula Rich, nimeza watano
  8. T

    Tunamaliza mabucha kwa sababu ladha ya nyama inatofautiana

    Sawa sawa Mdukuzi, nakumbaliana na wewe, kwa mfano wengine wana vibamia, wengine mkono wa tembo, wengine mguu wa mtoto n.k. upo hapooo! kwahiyo mwanaume anatatuta ladha tofauti mwanamke pia!
  9. T

    Tangu nigundue tabia za mume wangu sina hamu nae tena

    Who cares umenifanya nicheke kama jina lako lilivyo wewe inaelekea ujari feelings za wenzako, jamani nimejitahindi sana kumfurahisha, kumheshimu mume wangu. uwa na muuliza mara kwa mara anakosa nini au nimekosea nini mimi jibu lake anaishia kusema hamna kitu nilichomkosea wala hakuna anachokosa...
  10. T

    Tangu nigundue tabia za mume wangu sina hamu nae tena

    Kiukweli nimetokea kumchukia mume wangu, imetokea hata sifa zakua na mimi tena sizioni. Mimi ni mwaminifu mwenzagu malaya, yeye ni kufukuzana tuu na Malaya kila kukicha, leo huyu kesho huyu, ana musululu wa wawanawake ambao ametembea nao mpaka kinya . katembea na barmaid kila bar anapoenda...
  11. T

    Mwanaume wangu na tabia ya kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii

    Pole, kumbe tupo wengi wenye wanaume wa namna hiyo.mi nahisi hata michepuko wanayo. maana muda mwingi na simu! lo! ni shidaaaaaaa.
  12. T

    Wanawake wa kitanga watamu jamani

    Wanawake wa kitanga watamu jamani hatukatai ni watamu sana! lakini ukae tayari kula na wanaume wenzio kibao! kama una wivu utaumia baba.
  13. T

    Wafanya usafi maofisini kimbilio la madomo zege

    Sio wafanya usafi tuu mpaka walinzi wa makampuni mbalimbali, na hiyo ofisi unayoisifia inaongoza kwa ngono, tabia ya ma afisa kutembea na wafanya usafi, walinzi. huku wakijifanya wanapunguza mambukizi.
Back
Top Bottom