Huu ni mwanzo mzuri.. Walioanza kumtuhumu Zitto kuwa anakurupuka katika anayoyafanya nadhani sasa watauapprove uthabiti wake katika kusimamia rasilimali za watanzania na kuwa ni mmoja kati ya viongozi wanaohitajika Tanzania.
Ndugu yangu Kiloriti,
Zipo taratibu nzuri zaidi za kuzijibu tuhuma mufilisi zinazotolewa juu ya viongozi wa vyama vya siasa, serikali au hata taasisi zingine. Sina shaka hata wewe utatoa majibu kwenye mambo yanayozungumzwa kuhusu wewe pale tu unapoona yana mashiko, sio kila kitu utakitolea...
Mtoa mada ameonesha wazi kuwa anakifahamu vema Chama cha Demokrasia na Maendeleo mkoa wa Singida. Hii pekee ni karata nzuri ya kusaidiana na wanaokijenga ili kukipa maendeleo. Kazi ya kujenga chama cha Siasa, tena katika mazingira ya upinzani mkali kutoka kwa watawala si kazi ndogo hata kidogo...
Katika watu ambao wamekisaidia chama mkoa wa Singida ni Mwenyekiti na Katibu aliyeko sasa, watu ambao unawashutumu kuwa hawana uwezo kiuongozi. Mwenyekiti ametumia muda na rasilimali zake nyingi kukipa chama heshima iliyoko sasa. Daima amekuwa ni mtu msikivu na anapokea ushauri wa mtu yeyote na...
Kwanza nianze na kumsaidia tu mtoa mada. Malalamiko yake ni ya msingi na yanapaswa kufanyiwa kazi. CHADEMA kinapitia wakati muhimu sana kwa sasa. Huu ndio wakati kinapoongeza idadi ya wanachama, viongozi na hata wadau wengine wanaokiunga mkono. Izingatiwe pia kuwa, wanaokuwa viongozi ndani ya...
Kuna ishara za wazi kabisa kuwa hukitambui vema unachokizungumza. Katiba ya chama iko wazi kabisa juu ya lini uchaguzi unapaswa kufanyika. Chama hakiwezi kufuata maoni ya misukule mnaokesha kukibomoa, chama kinaendeshwa kwa katiba. Katiba hii anayo pia msajili wa vyama vya siasa, na anatarajia...
Maybe pia inaweza kutokutofautiana na ukweli kwamba Mwigulu tulimfuma na mke wa mtu Igunga na akanusurika na kipigo cha mbwa mwizi, tena kweupee!
Au ukweli kuwa Chama Chenu Magamba kinaongoza kwa kuwa na watendaji wasioona umuhmu wa shule wala hoja..
Au umesahau kuwa kwa sasa mnaongoza kwa...
Bado sijaiona hiyo nguvu ya Mutungi na sheria zake dhaifu, za kibaguzi na za kikandamizaji kukifuta CHADEMA. Yeye naye ni zao la mfumo mbovu, amekabidhiwa ofisi kwa kazi maalumu, nasi hlo tunajiandaa nalo.. Aangalie tu yasije yakampata kama yale ya Jaji........... wa kesi ya wale makada wa...
Wagombea walikuwa watatu kwa nafasi za urais, na wawili kati yao, kampeni zao zilisimamiwa na viongozi wa juu wa chama cha mapinduzi chuo kikuu Ardhi, Mwenyekiti wa tawi na katibu mwenezi. Kama CHADEMA kilitoa hizo milioni tisa, kisingeweza kuzitoa kwa ajili ya hao, ni lazima kingezitoa kwa...
Mr. Hamidu,
Akili za kuunga unga hizi.. Wala usikimbilie JF kuuelezea ujinga wako.., Nione mimi ndiye niliyesimamia kampeni za bwana Sabini mwanzo mpaka mwisho nikupe details zote za mapato na matumizi, sio kuwapotezea watu muda wao kusoma threas zako za kulialia.. After all ameshinda, kawape...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.