Recent content by time taker

  1. T

    Serikali iwatupie jicho kali BASATA

    Hizo zote ni facts na wala sio evidence. Unajua evidence wewe? Nilitaraji ungeleta ushahidi wa kura alizopata Diamond vis-à-vis kura za kiba. au jinsi mchakato mzima ulivyochakachuliwa. lakini unaleta blah blah tu. Leta EVIDENCE
  2. T

    Nawapongeza ITV kwa kuanzisha kipindi cha Hot Seat, ni muhimu siasa za nchi hii

    comedy nzuri na ujumbe pia.. big up Evans Bukuku
  3. T

    Siku hizi unadhifu wa mume sio fahari ya mke tena?

    Kweli aisee, kwani unaoa ili upate dobi? Oa coz unampenda sio unaoa ili upate wa kukufulia, kukunyooshea kukupikia nk. Sawa kuna majukumu ya mke, lakini wanaume pia mnahitaji kuwa waelewa..kuna kuchoka. Sio ukioa ndio ubweteke tu unasubiri kufanyiwa kila kitu.. Put yourself into her shoes..can...
Back
Top Bottom