Recent content by timbwili

  1. T

    Ze comedi... Wanajenga, wanabomoa...?

    Kwa issue ya Kanumba kwamba alichemsha kwenye ngeli hilo halina ubishini ni kiasi cha kujifunza tu kwani lugha yoyote ukijifunza utaimasta.ILa hawa nao inelekea wameishiwa,kwa lugha yao wameanza kufuli.Habari ya kuanza kumuonyesha huyu dogo Mhindi fisadi mara Yanga sijui imefanyaje ni mwanzo wa...
  2. T

    Vigogo zaidi wa BOT watinga kortini

    Hii ndiyo bongo yetu bwana.Unaona vikwangua anga vinaota tu hapa bongo na magari ya kifahari kila uchao unajiuliza hivi hawa wenzetu mshiko wanaupata wapi?Kumbe watu wanakamua kwa kwenda mbele halafu hospitali hazina dawa,mikopo ya elimu ya juu mizengwe kwa kwenda mbele,huko vijijini ndiyo...
  3. T

    Hawa ndio wasomi wetu: IFM

    Shule ya bongo ni ngumu bwana ,vitha ni vitha mura!!!
Back
Top Bottom