Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau, jana hawa jamaa wa Ze comedi wameendeleza uhasama dhidi ya wasanii wenzao wa kutengeneza filamu baada ya kuponda kikao cha wasanii hao kilichofanyika juzi n huku wakijigamba kuwa wao hawatishiki n kwa jeuri zaidi hata wakamkaribisha Manji kwenye kipindi chao...
Je, watakapo fulia kabisa MANJI ataendelea kuwatunza?
USIMCHEKE MAMBA KABLA.........
Je, watakapo fulia kabisa MANJI ataendelea kuwatunza?
USIMCHEKE MAMBA KABLA.........