Recent content by TIMBALA

  1. T

    Safi kijana silinde

    Ningekuwa Bashe ile ripoti ningeiweka hadharani ningewaita waandishi ili kumwaga unga na mboga, huyu jamaa hatumii ubongo kufikiri anatumia tumbo
  2. T

    Nape: Bajeti Mbadala ya Kambi ya Upinzani inadhihirisha uongo wa CHADEMA

    Na ngoja ole wake EL arudi kwa kasi nyingine tajikuta anaokota makopo barabarani
  3. T

    machungu ya kumpenda mtu akaleta dharau

    May be ww umekuwa mshika mapembe tuu ndo maana unamtatulia matatizo mengine, na mengine anatatuliwa na wengine. So what? Pambana
  4. T

    Jamani am back.....kabinti kangu!!!

    Mbona unakasifia sana hako kabinti kako? Anyway, beauty is subjective
  5. T

    Mabinti nao kumbe ving'ang'anizi......!!!!

    Tatizo ni kwamba onja onja nyingiiiiii then anaanza kuchagua na mademu wa siku hizi akishajua unam........ vilivyo wengine wako tayari kuacha waume zao huko anakuganda kijana wa watu. Duh!!!! Dhambi jamani
  6. T

    AM FINISHED!!! You ladies why?????

    JAMANI WANA JF HABARI, Mimi nafanya kazi kwenye taasisi moja kubwa tuu na mshahara wangu mzuri tuu najimudu vyema. Wakati naanza kazi nikakutana na mdada mmoja ambaye alitokea kunipenda ghafla nikajikuta nimeshaingia kingi bila kujijua. Maskini ya Mungu kumbe ni mke wa mtu na hakuwa na pete na...
Back
Top Bottom