Recent content by timaso

  1. T

    Unahitaji mke/mume toka Rwanda & Congo DRC

    Mm ni mwanamke miaka yangu 42,naishi Tanzania ni mnene,maji ya kunde,nina mtoto mmoja na ni mwajiriwa serikarin.Mbaya zaidi ninaishi na virus vya ukimwi,nahitaji mwanaume umri kuanzia, 45-58 anayeishi na virusi vya ukimwi ambaye pia ameajiriwa au anashughuri za kumwingizia kipato?
  2. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    tufahamiane kwanza mwenzangu unaishi wapi unawatoto wangapi vipi kuhusu mke una shughuri gani vitu kama hivyo
  3. T

    Natafuta mke

    Ndugu huyu ni shida jana saa 15:58 alikuwa na miaka 46 na alikuwa anataka mtoto wa kike wa hiari,leo ana miaka 44 anataka mke ni shidaa
  4. T

    Natafuta mke mwenye VVU

    Habari mkuu ulishampata wa kufanana na ww?
  5. T

    Lonely girls

    umri wako na umri wa huyo unayemhitaji please.
  6. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    asante nashukuru
  7. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    nashukuru sana kwa faraja,mungu akubariki na azidi kukujenga zaidi katika kufundisha maana hawajui waandikayo fadhiri za mungu,rehema za mungu na huruma zake na ziwe juu yao watu kama huyu.
  8. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    asante na nimemsamehe.
  9. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    Asante sana ukweli kwa kunipa, moyo,maana nishaanza kukataa tamaa
  10. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    nashukuru kwa ushauri wako ni mzuri sana lakini wapo wenye vvu kama mimi na wenyeenye wajukuu hao ndo ninaowatafuta wanahitaji kuishi na mke kumbuka nasi ni binadam
  11. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    asante nashukuru
  12. T

    Natafuta Mwanaume mwenye VVU

    Ee pole ndugu yangu vipi mdogo wangu wewe umeshapata?
  13. T

    Natafuta mwanaume wa kunioa mwenye vvu

    Umri wangu miaka 41 nina shughuri binafsi za kuniingizia kipato, naye pia awe mwajiriwa au shughuri yoyote halali ya kumwingizia kipato.Umri wake miaka 45-60 alitayari aniPM KWA WALIO SERIOUS TU
Back
Top Bottom