Mm ni mwanamke miaka yangu 42,naishi Tanzania ni mnene,maji ya kunde,nina mtoto mmoja na ni mwajiriwa serikarin.Mbaya zaidi ninaishi na virus vya ukimwi,nahitaji mwanaume umri kuanzia, 45-58 anayeishi na virusi vya ukimwi ambaye pia ameajiriwa au anashughuri za kumwingizia kipato?