Recent content by Timanz

  1. T

    Natafuta Maduka ya nguo

    Natafta maduka ya nguo za kike kwa bei ya jumla dar. Anae yajua msaada tafadhali.
  2. T

    Baada ya kumiliki tecno W5LTE, Nimeamini hakuna simu bora kama tecno

    Tecno[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23] Alaf tecno zote W5[emoji23][emoji23][emoji23] Na umenunua leo af unaisfu Ngja ianze kufany yke utarud hp kutubu uongo wako! Tecno cio smu! Ht cx uchfu tuu! Response ya tecno ukitouch ni taabu tu. Keyboard unasubirrr, camera ukipga picha kusave...
  3. T

    Biashara ya nguo

    Wakuu habar zenu! Ninahitaji kuchukua mzgo wa nguo kitoka uganda niko dodoma ili nifanye biashara ya nguo! Msaada wa namna na taratibu za kufata hapo ili kufanikisha isue yangu hii' passport ninayo!
  4. T

    Msaada kuhusu doctor of pharmacy

    Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu. Nimepata kusikia kidogo kuhusu kozi ya Doctor of Pharmacy(pharm D.) Naomba kufahamu kama kuna chuo tanzania kinatoa hyo koz au kama kuna mpango wa kuianzsha. Pili nahitaji kujua kuhusu career yake yan baada ya hapo mtu anakua ana deal na nini?
Back
Top Bottom