Recent content by tiku

  1. T

    JamiiForums Tanzania App ya kutafsiri sauti. Eg from german to swahili

    Hii inatafsiri maandishi sijajua kama inatafsiri na sauti au kwenye sautininatumikaje kwKuwa naitumiankwenye kutafsiri maandishi
  2. T

    JamiiForums Tanzania App ya kutafsiri sauti. Eg from german to swahili

    Habari wana jamii forum naomba msaada wa kujua app inayoweza kutafsiri sauti, mfano nasikiliza voice au short vidio ya kijerman inanitafsiria kiswahili moja kwamoja, naomba mwenye kujua anisaidie.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Youtube app ambayo haina matangazo

    Wakati natumia youtube
  4. T

    JamiiForums Tanzania Youtube app ambayo haina matangazo

    Au naomba mwenyekujua jinsi ya kuzuia matangazo kwenye simu
  5. T

    JamiiForums Tanzania Youtube app ambayo haina matangazo

    Habari wana jf. Naomba msaada wa youtube app ambayo sio ya kulipia na haina matangazo.nimetumia vanced siku moja haifanyikazi tena ila ni nzuri haiweki tangazo hata moja.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Application inayo dowload nyimbo youtbe na hata nikibadilisha simu nyimbo zangu niendelee kuwanazo kwenye simu mpya.

    Habari wana jamii naomba mwenye kujua app nayoweza kudownload nyimbo na hata nikibadili simu nizikute mgano picha kwenye google photo nikibadili simu nazikuta.nataka kwa nyimbo sasa. Maana natumia vidmate na tube mate lakini nikibadili simu naanza kudownload upya.msaada mwenye kujua
  7. T

    JamiiForums Tanzania Naomba app za bure za kuchat na gpt

    Ndugu nazidi kuja kwenu kuomna msaada wa kujua app za bure za kuchat na gpt maana nimeona kule unaweza kuwa na shida ikasaidia kukupa maelekezo. Nilipata moja ya bing nimechat nae kanikatoa mawasiliano gafla afu hataki kuchati tena na mimi
  8. T

    JamiiForums Tanzania App inayo convert jpg/pdf to word .

    Wanajamii forum nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano. Naomba anaejua app inayoconvert docment iliyopigwa kama picha au pdf kuipeleka kwenye word. Ambayo ni ya bure hailipiwi
  9. T

    JamiiForums Tanzania Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

    Na ninaendelea kugundua maajabu wala hai screen short. Afu ukiwasha haiandiki samsung galax a34 . inaandika samsung galax basi. Yele uwiiiiiiiiii!!! Nimepigwa. Japo sijadhibitisha sana. Kuna jamaa mmoja humu huwa anajua simu sana mkwawa jamaa angenisaidia ningepona .kuna kipindi pia alisha wahi...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

    Napenda kwanza nijiridhishe kama ni fake ndo nirudishe
  11. T

    JamiiForums Tanzania Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

    Sio matajiri nimejiunga sana kununua hii simu kwanza nilikuwa nalipankwa installment. Naomba tu msaada kujua simu og na fake kwakuwa nimenunua sio mbali na ninapo ishi nairudisha tu nabadilisha maana anazo simu aina zote hizi flagship kama note 10 plus ,ana hiz aseries . naomba jinsi ya kujua...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

    Zile features zote za samsung hamna iko tu kama infinix afu batton ya kuzima simu haina ukizima inakuletea vitu vingine vingi. Au nimepigwa nimeinunua 700,000. Na omba mwenye njia nyingine jinsi ya kuangalia simu original anisaidie
  13. T

    JamiiForums Tanzania Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

    Habari wadau niliomba ushauri hapa simu ipi bora kati ya samsung galax a 33 au a345g. Nimenunua a345g nimegundua hizi simu za a series ni infinix iliyochangamka. Sijazoea samsung za hivi jamani, sijapenda kabisa. Na ni simu original nimeipima vya vipimo vyote vya bimei, ma sensor sijui. Mliowahi...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Simu ipi ya samsung a serries ni bora kati ya a33 5g na a345g

    Asanteni sana sana j.f nimekuwa nikipata msaada sana katika forum hii.ninapokuwa na jambo linanitatiza kuhusu maswala mazima ya kitevhnolojia nakuja hapa.huwa nataman nilipe ada walau hata 10,000 kea mwaka lkn sijui utaratibu ukoje.najikuta tu naacha.il a jf msaada sana ,
Back
Top Bottom