Sidhan kama tupo humu kuoneshana nani anajua sana, lengo ni kuoneshana njia zinazoweza hilo tatizo kutatuliwa, kwani wengine mwajiri wao amewasaidia kuondokana na hilo janga la kubambikiwa deni la HESLB ambalo halina uhalisia, kuna watu walikuwa wanakatwa badala ya deni kupungua ajabu likawa...
Sijatetea kitu na kweli inawezekana sijui kitu lakini Nadhani hujanielewa vizuri kuhusu nafasi ya mwajiri kwenye makato yoyote unayokatwa kwenye mshahara wako. Wengine tulikuja kupata muafaka baada ya kutishia kumshtaki mwajiri na bodi mahakamani ndio taarifa zikakaa sawa, mana mtu unakatwa na...
Bodi hawakati hela ya mtu, hela anakata mwajiri wako halafu ndio anaipeleka HESLB, wewe banana na mwajiri wako akupe hela yako ambayo amekukata bila utaratibu
Kwahiyo wewe leo ukiandika kitabu kinachomuhusu Nyerere na kukiita Nyerere utakuwa Nyerere ameandika akiwa kaburini,
Biblia ni simulizi ya matukio mbalimbali yaliyotokea kwa waisraeli/agano la kale na simulizi za matukio baada ya Yesu kuzaliwa(maisha ya YESU)/agano jipya
Unaongea kitu hukijui kuhusu ukatoliki, hujui mtiririko wa mafundisho yao, ibada/misa ya jumapili imetengwa kwa makundi ya watoto na watu wazima ambao wanaingia tofauti, kuhusu mafundisho mahususi ya rika, ndio kuna hao UTOTO MTAKATIFU/WATOTO, VIWAWA/VIJANA, UWAKA/WANAUME, WAWATA/WANAWAKE, N.K...
Kama ndio hivyo hawa wasabato hawawafikii wakatoliki kwa kuwa na vikundi vingi, mana kuna WAWATA, VIWAWA, KIPAPA, UWAKA, MOYO MTAKATIFU WA YESU, KARISMATIKI, DON BOSCO, REJIO MARIA, ni vingi kuvitaja vinavuka 100
Zambia huku unaiona Msumbiji, bila shaka hicho kijiji kipo angani,
kuna mahali umesema upo Chunya, sasa Chunya na Zambia zinapakana wapi? Chunya na Msumbiji zinapakana wapi?
Siku nyingine unapokuja na stori uwe na ATLAS pembeni
Madhara ya kuandika majina mtu anavyojisikia ni kubwa sana, utakuta mtu kila document kuna majina yamepishana halafu ukimuuliza anakupa majibu rahisi tu, mara hili niliandika majina ya upande wa mama hapa niliandika majina ya babu halafu analazimisha aeleweke, watu wanatumia mwanya huohuo...
Biashara inaweza kukupa moyo miaka mitano ya mwanzo lakini baada ya hapo ikakupiga mbaya.
Nakuunga mkono kuhusu suala lako la kuacha kazi lakini sio leo, sidhan kama biashara yako imesimama kiasi kwamba ikitokea umeumwa miezi 6 biashara haiyumbi. Biashara moja sio ya kuacha kazi. Sidhan kama...
Na muache ukabila, 2015 mlipoteza ubunge kisa tu mgombea wa chadema alikuwa mkisi, watu wakamchagua mwakyembe sio kuwa wanamtaka bali ni mnyakyusa mwenzao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.