Recent content by Tikinya

  1. T

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mh, Rais anatupeleka mahali sahihi kabisa hana tatizo. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    Habari Wadau wa JF

    Wadau, mimi ni kijana wenu nimejiunga Jukwaani tusongeshe gurudum la maisha kwa kujadilia mambo tofauti kulingana na maisha, Sent using Jamii Forums mobile app
  3. T

    Nahitaji Mchumba

    Mimi ni kijana wa miaka 27, Natafuta mchumba wa kike, awe mcha Mungu, Awe mwajibikaji, msafi na mwenye mapenzi ya kweli, awe tayari kuwa mke na kuwajibika kama mama ndani na nje ya familia. Umri awe chini ya 27 sio mbaya, kabila lolote, Elimu yoyote, na kikubwa awe adabu na utii. Kama upo...
  4. T

    Uhusiano Kati Ya Rangi Ya Ngozi na Nywele

    Naomba kuuliza wadau, hivi Kuna uhusiano gani Kati ya rangi ya Ngozi ya binadam na rangi ya nywele zake,? Je kuna uhusiano wowote ule? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom