Uamuzi huu ni wa busara sana na hizo changamoto unazosema ni za muda tu. Lazima tupunguze misongamano isiyo ya lazima Dar. Hata bandari tunahamishia KWALA. Hivi umeshatathmini hasara taifa linaloingia kwa siku hapa Dar kwa foloni.
Hivi umeshatathmini namna uchumi wa dodoma unavyokua kwa kasi...
Lengo kuu la NATO ni kuidhibiti urusi kivita. Kwa maneno mengine kuiangusha kabisa urusi kijeshi. Walianza kwa kuzichukua nchi karibu zote jurani na urusi ikabaki UKRAIN. wakaishawishi nayo Ukraini ijiunge NATO ili mchezo uishe. Urusi akawaambia hapo mmevuka mstari MWEKUNDU. hivi hata ungekuwa...
Sina cha kusema zaidi ya kukuombea kila la heri katika maisha yako. MUNGU AKULINDE NA KUKUBARIKI SANA.AMINA
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Nina wasiwasi kama kweli hii tume ilikuwa huru. Mwenyekiti wa tume Chibukati kabla ya kutangaza matokeo kulikuwa na mikiki mingi. Kati ya wajumbe 7 zaidi ya nusu hawakukubaliana na hayo matokeo kwa sababu ya irregularities lakini akaamua kutangaza bila makubaliano na wenzake ambao ndo wengi...
It might be so. Ila ikiwa hivyo na kama kampeni zitaruhusiwa, hao wagombea wawili wa mwisho watakuwa LULU kwani huenda wafuasi wao wakatoa deciding votes kwa hiyo Raila na Ruto watawagombea kutaka uungwaji mkono kutoka kwa wafuasi wa hao wagombea wawili wa mwisho (waihiga na Prof Wajackoyah)...
Kaka ubarikiwe sana kwa andiko hili. Watakaobahatika kusoma mpaka mwisho wakazingatia, hakika watafadika. Mimi ni shuhuda wa hili.
Niko 55, nilipokuwa 40 niliyumba kidogo performance yangu ya ndoa haikuwa nzuri kiviiile kwa sababu ya pombe nyingi na kubugia misisi bila utaratibu.
Ilipogonga...
Hivi mzungu na mwafrika nani kawekewa akili nyingi na Mungu??? Je ni huyu wa kutengeneza upinde na mishale kwa ajili ya vita na mahitaji au huyu wa nyuklia???. Hivi kila mmoja akitumia silaha yake na kwa Bahati kukawa na Manusura, then ukawzuliza hao manusura kuwa NANI MWENYE AKILI KATI YA...
Naunga mkono hii hoja, ni mara ya kwanza wakulima wanapata bei nzuri kipindi cha mavuno.
Miaka yote wakulima bei zinakua ndogo wakati wa mavuno na wenye fedha hununua na kuhifadhi ili bei zikipanda wafaidi.
Safari hii bei zimepanda wakati wanavuna. Acha nao wapunguze makali ya bei ya mbolea...
Suala la kuzuia uuzwaji chakula nje ya Tanzania tulishamalizana nalo. Serikali isirudie tena hilo kosa hata kama kuna uhaba wa chakula.
Wacha wakulima wauze sehemu wanapopata bei nzuri kwani mbolea imepanda bei sana. Wasipopata bei nzuri kipindi hiki cha mavuno, hawataweza kununua mbolea msimu...
Tutajua mengi sana kutokana na huu mgogoro. Tuombe tu isitupeleke kwenye vita ya tatu ya dunia kwani kwa teknolojia za silaha zilizopo duniani kwa sasa, MADHARA HAYATAELEZEKA
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.