Siku tukija kuamka usingizini ya kiukweli waZanzibar watakuwa wameiacha Tanganyika ikiwa haina kitu. Mark my words. Wao sio wajinga siwanaona upepo ulivyo. Sasa hivi watakuwa wanahamishia mali za Tanganyika kwenda Zanzibar. Wakishamaliza wao wenyewe ndo watasema hatutaki muungano
You said it well.
Watanganyika hawaoni kuwa hilo ni tatizo , wanachoona na kutamani ni CCM iendelee kuwatawala. Wajinga ni sisi watanganyika sio wazanzibar. waZanzibar walikuwa na akili tangu mwanzono hawakuruhusu ardhi yao inunuliwe na watanganyika. Acha wachukue kila kitu sisi tuendelee...
Nyerere aliingizwa chaka vibaya mno. Wazanzibar watafanya kila mbinu kuhakikisha muungano unadumu kwa sababu wafaidika wakubwa wa Muungano ni wazanzibar na sio watanganyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.