Mkuu, Lissu ni mwanasheria nguli sana, usidhani yeye hauji kwa nini amewahitaji ,anajua mambo na siri nyingi chafu za nchi hii. Naamini kuna watu serikalini wanampa Lissu very sensitive information na hii ni right time to expose madudu yote wanayoyafanya. Watch this movie.
Kupitia case hii...
Umeshatuambia kwamba ananyongwa hiyo ndo tathmini yako basi tumekubaliana na wewe. Basi tuache tuendelee kufuatilia kesi. Kila wakati unapost kanyongwa kanyongwa. Basi tumeshakusikia. Kaa pembeni
Aache kukimbia kutoa ushahidi. Anataka kusingizia eda. Yuko eda lakini anajifanya kutoa shukrani eti watanzania wote wamempa pole ya msiba. Ni hayo machawa tu na mauaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.