Ahsante kwa taarifa. Watanzania tusikubali hili jambo liishe kwa huyu muuaji na raisi fake kutuwekea tume zake za mchongo.
Damu ya watanzania wenzetu kamwe hatutakubali iende bure
CCM inajua kabisa kamwe haiwezi kuishinda CHADEMA kupitia sanduku la kura hiyo iko wazi, na hawako tayari kuachia madaraka kwa mazungumzo au maridhiano. Lugha watakayo ielewa na wakaachia madaraka ni kwa kutumia nguvu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.