Recent content by TIETA

  1. T

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Yap. Sio rahisi kwa mwafrika. Mtu amepata kiti kwa njia ya damu harafu aachie hivi hivi, sio rahisi kama tunavyofikiria
  2. T

    JamiiForums Tanzania Bila kuwachafua wenzake kwa shutuma za uongo Lissu asingeshinda uwenyekiti

    Jizi, liuaji likiwa na dalali wa siasa
  3. T

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Mkuu, Lissu ni mwanasheria nguli sana, usidhani yeye hauji kwa nini amewahitaji ,anajua mambo na siri nyingi chafu za nchi hii. Naamini kuna watu serikalini wanampa Lissu very sensitive information na hii ni right time to expose madudu yote wanayoyafanya. Watch this movie. Kupitia case hii...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kukata rufaa ili Samia na wenzake waitwe Mahakamani kumtetea Tundu Lissu

    Yuko edda lakini anawaza ufisadi tu. Jinga sana hilo limama
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Kumbe kuna lingine hapa lijizi na lipenda rushwa. Ngoja niliweke kwenye ignore
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Lipige ignore tu. linaonekana ni lilevi na livuta bangi tu. Akili zero
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Yap. Yuko fit sana. Ila CCM ni wakatili sana. Najiuliza hivi hawa watu wakienda kanisani na huko misikitini sijui uwa wanaomba nini
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Tayari mimi nimeshalipiga ignore. Wewe lipige ignore tu. Linaonekana nilijinga fulani hivi
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Ni kweli Lissu ananyongwa. Hongera kwa scientific analysis. Huko vizuri sana aisee. Thumb up
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Lissu ananyongwa, you are right
  11. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Umeshatuambia kwamba ananyongwa hiyo ndo tathmini yako basi tumekubaliana na wewe. Basi tuache tuendelee kufuatilia kesi. Kila wakati unapost kanyongwa kanyongwa. Basi tumeshakusikia. Kaa pembeni
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Uamuzi tayari unajulikana. Hawawezi kuja. Mahakama za bongo zinaendeshwa kwa maagizo tu
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Aache kukimbia kutoa ushahidi. Anataka kusingizia eda. Yuko eda lakini anajifanya kutoa shukrani eti watanzania wote wamempa pole ya msiba. Ni hayo machawa tu na mauaji
  14. T

    JamiiForums Tanzania Kwa ushahidi wa mh. Heche, naamini ukiwa CCM unabadilika na kuwa si binadamu kamili

    Nina kubaliana na wewe 100%, CCM siyo chama cha siasa.
  15. T

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Nenda kamuulize huyo muuaji. Sasa unauliza humu ili iweje
Back
Top Bottom