Recent content by thunderstorm

  1. thunderstorm

    Magufuli akabidhiwa haya majina ya wauza 'unga'

    Ikiwa ni pamoja na Ray C
  2. thunderstorm

    Waziri Lukuvi asitisha zoezi la bomoa bomoa

    Ukuliza hivyo na mimi nukuulize ulikuwa wapi siku zote kwa kukwepa sheria. Kulingana na Sheria ya Ardhi kuna sehemu ili uweze kutumia ardhi lazima umilikishwe kisheria-"any urban land must be granted"
  3. thunderstorm

    Lowassa akosa sifa za kuwa rais wa Tanzania

    Marryan usianzishe ugomvi wa mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo. KwanZa Azimio la Arusha mlishaliua pili muangalie Mkuu wako wa Kaya. Atapona kwa mtaji huo?
  4. thunderstorm

    Godbless Lema azua maswali msiba wa Malla

    Mwenyezi Mungu ni mweza wa yote Amen
  5. thunderstorm

    Wakazi wa Kibamba kufanya maamuzi magumu

    Naam! Naam! Naam!
  6. thunderstorm

    Wakazi wa Kibamba kufanya maamuzi magumu

    Ni kweli kabisa. Ni vyema kuchambua na kufanya maamuzi yenye kuleta tija. Miaka mitano ilikuwa ni ya reformation pamoja ni vikwazo tulivyokuwa tunashuhudia kitoka Serikali tawala
  7. thunderstorm

    Moshi Nimewakubali!! David Mosha shtuka!.

    Namba nimeisoma. Mbona nikipiga hampokei?
  8. thunderstorm

    Kimenuka Lumumba, Makongoro na Timu ya Kampeni watoa Dukuduku

    Ukwaju utafakari kabla hujajibu. Mmemchanganya msisiem na mpaka sasa ameamua kunadi Ukawa
  9. thunderstorm

    Kimenuka Lumumba, Makongoro na Timu ya Kampeni watoa Dukuduku

    Hili ndio tatizo la mzee wa malofa kutembea na majina mfukoni
  10. thunderstorm

    Kimenuka Lumumba, Makongoro na Timu ya Kampeni watoa Dukuduku

    Huo wizi unaosema ndio tunautaka
  11. thunderstorm

    Dr. Magufuli na Mama Samiah kutogusia katiba kwenye mikutano ya kampeni, Nini tatizo?

    Ufisadi una uhusiano gani na Ukawa? Kwenye ile "list of shame" umesahau walitajwa? ! Ni Ukawa wote?
  12. thunderstorm

    GE2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

    The choice is definetely yours of whether to CHANGE from business as usual or TRANSFORMING leadership
  13. thunderstorm

    Wanachama 500 wa CCM na diwani mmoja Muleba wahamia CHADEMA

    😴😴😴 cant see
  14. thunderstorm

    Lowassa ana bahati sana, sababu Magufuli hafai

    Umeonaee! Three the hard way!
Back
Top Bottom