Recent content by thumb

  1. thumb

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    usiku huyo anawika kama jogo ni nyoka hatari sana usiombe ukutane nae akikuona hakimbii yeye anakufuata ulipo tofauti na nyoka wengine wanaogonga kwa bahati mbaya
  2. thumb

    Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

    vyanzo vipi mkuu !naona ramli chonganishi katika ubora wake
  3. thumb

    Lissu: Ndugu zangu tuwe makini sana na watu wa aina hii. Ni mbwa mwitu waliojivika ngozi za kondoo

    mtu anayetaka ulinzi asingetaja sehemu ya kupitia maana yake ni kwamba wauaji wanakuwa wanajua mojakwamoja utapitia wap na wap watakukamata kwa hiyo hizo ni habari za kusadikika ambazo hazina mashiko mbele ya jamii yenye uelewa mpana wa mambo kama hayo
  4. thumb

    Ukweli kuhusu maisha ya India

    ubakaji ni janga kubwa sehemu hyo
  5. thumb

    Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

    unaona sasa yaleyale kila siku tunayoyapigia kelele ndio mnaanza kusema,kama unamaliza chuo ukafanya field mbalimbali pindi uendapo kuomba kazi lazima wakwambie lazima uwe na uzoefu kazini sasa unapataje uzoefu wakati ulikuwa unasoma, mkuu mimi huyo mama na mpongeza kuwa ceo hata hivo wa chini...
Back
Top Bottom