usiku huyo anawika kama jogo ni nyoka hatari sana usiombe ukutane nae akikuona hakimbii yeye anakufuata ulipo tofauti na nyoka wengine wanaogonga kwa bahati mbaya
mtu anayetaka ulinzi asingetaja sehemu ya kupitia maana yake ni kwamba wauaji wanakuwa wanajua mojakwamoja utapitia wap na wap watakukamata kwa hiyo hizo ni habari za kusadikika ambazo hazina mashiko mbele ya jamii yenye uelewa mpana wa mambo kama hayo
unaona sasa yaleyale kila siku tunayoyapigia kelele ndio mnaanza kusema,kama unamaliza chuo ukafanya field mbalimbali pindi uendapo kuomba kazi lazima wakwambie lazima uwe na uzoefu kazini sasa unapataje uzoefu wakati ulikuwa unasoma, mkuu mimi huyo mama na mpongeza kuwa ceo hata hivo wa chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.