Wanasema wasanii hasa wachoraji picha moja inaweza beba ujumbe mkibwa /maneno zaidi ya elfu moja.Chukua muda kujifunza kupitia picha hizi nini maanake......
Truee Story...[emoji404]
Kila binadamu anakutana na changamoto nyigi sana katika maisha yake ya kila siku lakini kumbuka kutokukata tamaa kwa kila jambo unalolipitia au kutaka jambo fulani.
True Story....[emoji404]
Kaka Bavaria hii ya tatu ina maana kuwa Mawazo yako (kichwa) yanaweza kukufanya mfungwa yaani ukiwa na fikra (mawazo finyu ) basi ww nimfungwa kutokana na mawazo yako mwenyewe
Kaka Mkuu hiyo ya kwanza ina Maana kuwa kuna watu Masikini wana lima na kupanda Mpunga kwa tabuu ni hao walio inama wamevaa kofia lakini kuna watu wanauchezea ndiyo hao mabibi harusi wanarushiana mchele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.