Recent content by thread critic

  1. T

    JamiiForums Tanzania Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    2013 g8 vipi?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya ya Tanzania vs ya Kenya

    This is what I had in mind nilidhani kuwa ya kwetu ingeenda mbali zaidi lakini inaonekana matakwa ya watu milioni 45 yamedharauliwa na sote tumefanywa kama watoto wadogo
  3. T

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya ya Tanzania vs ya Kenya

    hiyo hapo juu itazame
  4. T

    JamiiForums Tanzania RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Lakini Nyerere na Karume sio mihimili ya taifa hili. walikuwa ni personalities na washakufa na hatuwezi kuendelea kuongozwa na wafu tuna katiba na mihimili ya taifa na kama zanzibar wanataka kuondoka wapewe nafasi ya kufanya referendum waamue hatma yao kuna ubaya gani hapo?
  5. T

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya ya Tanzania vs ya Kenya

    Tayari ipo hapo juu....
  6. T

    JamiiForums Tanzania RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Sasa hii ya kuwa na wabunge kwa sababu ya jinsia ni waste of money na ilitakiwa kila mbunge aingie based on merit Imagine mama LWAKATARE anavyo tu cost sisi wananchi huu ni wendawazimu na ujinga ambao ilitakiwa uondolewe.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya ya Tanzania vs ya Kenya

    Ipi iko more progressive kati ya hizi mbili? naamini wataalam washafanya comparative analysis hebu tupeni majibu . KATIBA YA KENYA HII HAPA: http://www.constitutionnet.org/files/Kielelezo_Pantanifu_cha_Katiba_ya_Kenya.pdf RASIMU YA TANZANIA HIII HAPA...
  8. T

    JamiiForums Tanzania CAG kaficha ripoti za TANESCO na NHC?

    hakuna kitu...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Go to 9m50s for the start of the major reasons of why you should never eat GMO. It won't kill you but you might wish it did. Oh and at 49m 55s it starts getting really spicy regarding infertility.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Go to 9m50s for the start of the major reasons of why you should never eat GMO. It won't kill you but you might wish it did. Oh and at 49m 55s it starts getting really spicy regarding infertility.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Kenya Bans GMO Food Imporatation GMOs banned as cancer fears grow - News - nation.co.ke The government has banned the importation of genetically modified foods with immediate effect. (Yeah!) Consequently, Public Health and Sanitation minister Beth Mugo ordered public health officials to mop...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Ufisadi kwenye uteuzi wa Nehemia Mchechu?

    Ngoma ikivuma sana hupasuka; walisema wahenga; Nehemia Kyando Mchechu ni bogus; na kuanguka kwa jengo hilo Indira gandhi street is an eye opener; shughuli za NHC zichunguzwe kwa undani kabisa, Majengo mengi mapya mapya ya NHC viwango vya vya ujenzi na usimamizi leave a lot to be desired...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Tunavyosutwa na Prof KEN EDWARDS

    hii ndio bongo watu hawana habari hata kidogo kila mmoja na lwake
  14. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyerere alivyoiua timu ya PanAfrican

    MATOKEO YAKE WA g NDIO WAMEKAMATA UONGOZI WA MIPIRA TZ
Back
Top Bottom