Recent content by Thomson mtau

  1. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Ndoto ya kujinyea mbele za watu ina tafsiri gani katika ulimwengu wa roho? Wataalamu wa kutafsiri ndoto naombeni msaada wenu

    Ndoto yako ina ujumbe mzito sana wa kiroho na kihisia, na ni ya aina ya utakaso, kuachilia mizigo ya ndani, au mabadiliko ya kiroho. Japokuwa kiuhalisia tendo la kujisaidia kinyesi linaweza kuonekana kama aibu, katika ulimwengu wa ndoto za kiroho lina maana ya kuondoa uchafu, mizigo, au mambo...
  2. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania Makosa gani ambayo Mungu hawezi kusamehe

    KUMILIKI KADI YA UWANACHAMA WA (CCM) au kunga mkono hicho chama kwa namna yeyote 🙌🙌🙌🙌
  3. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tetesi: Mbowe kuibukia Chaumma Leo

    Mbowe ndo mzizi wa CDM leo aende chauma chama ambacho hata ruzuku haipati kweliiii ……….
  4. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tetesi: Mbowe kuibukia Chaumma Leo

    Hizi ni tetesi tu hakuna kitu kama hicho
  5. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Msajili wa vyama vya siasa Mulika mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM mwaka huu una kasoro nyingi

    Kufanya ivii nisawa na kujaribu kumshika mzazi wako makalio 🙌🙌
  6. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mrisho Gambo anapata wapi ujasiri wa kuposti mradi huu mtandaoni? Kama mbunge inabidi aone aibu!

    Aliogopa hata kujaribu kuvuka …… huyu mtu ndomana makonda alikuwa ana mpiga spana
  7. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tuwe Makini! Mwaka Huu CCM tutazomewa sana!

    Kweny hili jukwaa utabaki pekeyako kuwa lamba watawala miguuu kama kweli wew ni mzalendo tuletee hapa ripoti ya CAG hatua iliyo chukuliwa
  8. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania Nina shida na mshana jr

    Kaka nina shida na wew nimejarib kuja pm cjafanikiwa tafadhali naomba njoo pm kwangu ….. natanguliza shukrani
  9. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Picha: Viongozi wa Dini wakiwa viwanja vya Leaders, Kuliombea Taifa Amani na Rais Samia Suluhu Hassan

    Ulisikia wapi service ya engine ya gari inafanywa kwa maombi? Badala ya kufungua ……… ndicho tunacho kifanya sisi nchi hii ina hitaji mabadiliko ya kimfumo na cyo maombi na hichi kinacho endelea hapani kampeni na hawa wanaojiita watumishi wamesha ingia kwny mfumo
  10. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania Ukisafiri kwa V8 au hata kwa basi huku unasikiliza nyimbo za CCM, safari inakua nyepesi sana isiyo na uchovu wala usumbufu bali inakua safari salama

    Kila moja ana uhuru wakutoa maoni na kuheshimiwa ila kuna maoni mengine ni yakisenge sana ……. Mwisho wa kunukuu
  11. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 utafanyika kwa salama na amani bila kubadilisha aya, koma au nukta yoyote kwenye katiba au sheria ya uchaguzi Tanzania

    Hivi huyu ndugu ni mtu wa mkoa gani mbona uelewa wako una nipa wasi wasi sana yani hata vitu vya msingi unaweka ushabiki mbele 🙌🙌
  12. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

    Wanawake hawafai kupewa madaraka makubwa kiasi hiki ana sasa tuna dhalilika na mambo yakipuuzi kama haya
  13. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

    Aliye wambia wanawake ni wakupewa madaraka ni nani angalieni sasa tunavyo dhalilika
  14. Thomson mtau

    JamiiForums Tanzania Hivi viongozi wanaamua kutengeneza taifa la wajinga?

    Tena nimekuja kugundua hawa tunao waita viongozi wa dini , viongozi wa taasisi mbali mbali , ma profesa wamekuwa watu wa hovyo kweli kweli akili wameziweka kando ni mwwndo wa kusifia ujinga kweny redio na tv ndo usiseme , ni hasara kwa taifa
Back
Top Bottom