Kwa mtazamo wangu mbunge ni mwakilishi wa shida zetu na changamoto zetu mtatuaji ni serikali zaidi pale itakaposikia ile kero namaanisha serikali kuu lakini pia pale fungu la kutatulia hiyo changamoto likifika jimboni mbunge anatakiwa kufatilia kujua linaendaje hilo fungu.Kwa maana hiyo mbunge...
Wafiwa poleni sana kwa msiba huu mkubwa wa wapendwa wetu hao tumepoteza Mawaziri,madaktari na manesi watu wenye ndoto Kubwa kwa ujenzi wa Taifa bdae Mungu aturehemu na kutupa faraja ya kweli
Kiujumla hakuna faida hata kidg kuwa na mahusiano na mimama mikubwa zaidi ya kupata laana,mikosi na ulemavu mkubwa wa akili tusijipe platform na kuona it is OK kufanya hivi.Hilo linakuja km matokeo ya kupotea kwa uadilifu ktk jamii baaaaaaAsi na kingine vijana tuache vitonga tupige kazi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.